KV LONDON
JF-Expert Member
- Jul 18, 2012
- 903
- 241
Hatimaye wale wafuasi wa Chadema Asilia wamenyosha mikono baada ya mafisadi wa friends of Lowasa kuwavamia na kumnunua mwenyekiti wa Chadema freeman Mbowe na sasa chama kinamilikiwa na friends of Lowassa.
Kweli fedha ndo kila kitu.
Kula ndimu nyingi, pilipilli yakutosha na maembe mabichi itakusaidia
Naona mwezi mchanga unakusumbua