Wacha unafiki kama wa makongoro wa kusema anatoa siku tatizo kizimba king'olewe jion makamanda wakakipaka na hadi leo hakijabomolewa.Nilikuambia mkutano ulopita ya kuwa huifahamu Kimanga kwa magamba hata ni ndoto kushinda udiwani.Mahanga alikuja na basi isuzu ambalo watu hawakuzidi 20 na kashindwa kufanya mkutano.
Ngoja tusubiri aibu kama ya siku ile mkutano kukosa watu, ndiyo mmeamua kuupeleka Tabata Kimanga kituoni sababu padogo.
Kwa nini msipeleke pale uwanjani shule muumbuke.
Tunasubiri picha.