Hizo huduma ulizotaja zote zinatolewa na serikali wala siyo za kudai pengine mnalenu jambo ila siyo unayosema hapo.Pamoja daima ni operesheni kwa ajili ya kuwaunganisha Watanzania wote kuwa na uthubutu wa kudai haki zao.
Kwa mfano uboreshwaji wa daftari la wapiga kura, Katiba Mpya, Elimu bora, kupandishwa holela bei za vitu, Ushiriki wa wananchi kupiga kura na kugombea nyadhifa mbalimbali, Kukataa watoa rushwa kusaka uongozi, Kujitambua kwa Mtanganyika Mtanzania na Mzanzibar ndani ya Tanzania moja yenye nguvu, kulinda rasilimali zetu, kuukataa udini na ukabila na waenezi wake na zaidi ya yote kupiga vita dhambi kubwa ya woga.
Hizo huduma ulizotaja zote zinatolewa na serikali wala siyo za kudai pengine mnalenu jambo ila siyo unayosema hapo.
Hizi ni kampeni zika chadema daima subiri uone hii sacos ndiyo tunaizika hivi hatua kwa hatua.
Hizi ni kampeni zika chadema daima subiri uone hii sacos ndiyo tunaizika hivi hatua kwa hatua.
Upuuzi tu!
Hawa viongozi wa cdm hususam mwenyekiti ni walafi wamekuja na cdm daima m4c imekufa kazi yao nikuingiza cdm kwenye madeni na kulrta bajeti ya kuikopesha cdm kiongozi anazinguka na elkopta tatu alafi anatuwambia shangingi ni garama za anasa je kati ya shangingi na elkopza ipi unatumia matumizi makubwa narudia cdm tutaikombowa tu kutoka kwa hawa wazee wa elkopta ndiomana hawataki baraza kuu eti cdm haina ela za elkopta zinapatikana -------
Hizi ni kampeni zika chadema daima subiri uone hii sacos ndiyo tunaizika hivi hatua kwa hatua.