Ikiwa leo operation pamoja daima imeanza rasmi katika mikoa kadhaa na itadumu kwa muda wa wiki mbili (siku 14) mikoa yote ya Tanzania bara isipokuwa Lindi na Mtwara, mmoja wa viongozi mwandamizi wa makao makuu ya CDM amesema wakati wakiwa katika kikao walipekuliwa sana hususan simu zao ikiwa kama wana mawasiliano na Zitto Kabwe hivyo amepasha kuwa lengo kuu la operationhii ni kutaka kukutana na wajumbe wote wa mkutano mkuu na kuwatisha kabla ya kuitisha na kusikiliza rufaa ya Zitto, sasa kama chama kinatumia nguvu zote hizo kupambana na mtu mmoja tu inatoa taswira gani maana bajeti ya operation nzima ni mil 290