M4C-OPD: Ndani ya Manispaa ya Bukoba - Jan 26, 2014


Powerrrrrrrrr
 
Last edited by a moderator:
Kweli kijani imepotea,Bukoba badirika mmeona ufsadi ulivyoturudisha nyuma!!
 
Wadau nyomi niiyoiona itv leo dr.slaa akiwa mbeya nimeamini watu mikoani wako tayari kwa mabadiliko kuliko dar,nimeona watu wakiwa na bashasha ya hali ya juu.kweli kama alivyosema mbowe mtu yoyote atakaeivuruga cdm kwa sasa lazima ashughulikiwe ili kutowavunja moyo wananchi wengi wanaosapoti chama hiki.
 
Hivi mdau ni wewe uliye meza kuu hapo juu? Uwa napenda article zako kumbe nawe ni M4C? Well basi chadema ina vichwa vizuri kama ni wewe!!

Mkuu ningekuwa natumia zile lugha za kitaa ningesema unauliza samaki baharini. hahaha. Ndie mimi mkuu, Makala zinaendelea kama kawaida muda tu wa kuandika ndio umekuwa mdogo kutokana na hizi harakati.
 
M4C pamoja daima ndio habari ya mujuni
 

  • Huyo ni diwani tayari, michango ni hiari yako
 

nyie chadema si mnawatukana sana waislamu! kuna kamanda yoyote wa chadema asiewatukana waislamu? hebu angalia comment za makamanda hapa jf wanavyowatukana waislamu. bukoba ni ya waislamu sasa sijui mmeenda kufanya nini..mnautia najisi mji wetu
 
Aisee yale yalikuwa ni mafuriko duh jamani Mbeya kweli walishajizira , hawaambiliki hawaambiwi kwa chadema , yaani mpaka mwili unasisimuka
 
Ccm kupitia Startimes wamechakachua ITV full scratch...
 

sema lingine linalokusumbua. hv mabango umeanza kuyaona leo?
 
Mungu asante kwa mimi kuwa mmoja wa Makamanda
 
naona chadema wameshaanza kukupa shavu...! wamekupeleka tu bukoba kwa sababu za udini ili wasiaibike kwa sababu makamanda wanawatukana sana waislamu...!

Olekere kulya ebiroke byakumara amagezi kaziro
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…