Eng Kimox Kimokole
JF-Expert Member
- Jun 9, 2010
- 1,041
- 772
Kamata kitu cha M4C
Ebwanaeee!!wamekunya magamba!!!hakika kila mtu ataamka!!!Tusonge mbele makamanda wote,peopleeeeees!!!
Acheni kushabikia hata vitu ambavyo sivyo, sasa watawapa akina nani? Uharibifu tu wa ruzuku!
du hiyo ni noma, nimeipenda sana, kweli CDM ni kiongozi wa yote, Masalia waliokuwa wnapiga kelele kuwa hela zinatumika hovyo aibu yao hiyo, Mwapamba na juliana mlikwii???
Kamata kitu cha M4C
![]()
![]()
Acheni kushabikia hata vitu ambavyo sivyo, sasa watawapa akina nani? Uharibifu tu wa ruzuku!