M4C Mwendo Mdundo!!!

M4C Mwendo Mdundo!!!

nimependa zaidi mfumo wa kanda za chama! kuliko kila kitu ni makao makuu dar!
 
hapo chadema wamenena na pia wamefanya jambo bora kwa kuleta pikipiki ambazo ni special order maana kwenye engine zina nembo ya m4c,kwa wale ambao watataka kuzitumia kinyume na kazi husika shughuli ipo.


attachment.php

attachment.php
[/QUOTE]
 
Zipo pikipiki ngapi? utaratibu wa mafuta utakuwaje? Nina wasi wasi zitakuwa boda boda ili ziweze kujiendesha!!!
 
Nimeipenda hii. Chadema wamekomaa kwa ubunifu wa hali ya juu.
Nashauri wazilete nyingi ili ziuzwe kwa wananchi kwa bei poa na itakuwa kama njia mojawapo ya mapato kwa chama.
 
Mmmm Watakubali tu 2015. Tembo wetu wapone, na watu wa Mtwara wapone, Na watu wa nyamongo wapone, na Tanganyika ipone NK, NK
 
Kesho utasikia Nepi akihamasisha WEZI wa utajiri wa nchi yetu kununua za CCM, mwendo wao ni kuiga wanachofanya CDM. KWA UKWELI CDM NI NOMA, NINAWAKUBALI
 
tetesi zito kufanya maamuzi mazito leo yuko jimboni mwake (raia mwema)

Naona unampendasana Zitto,mpaka kuandika jina lake haujui au ndio zile school za kichina? alikuacha chumbani guest Ddm bila kukulipa nini? ngoja tumwambie akutumie pesa kwa M pesa ulipe chumba
 
Back
Top Bottom