M4C Mwendo Mdundo!!!

M4C Mwendo Mdundo!!!

Hii ni Baaab kubwa!
Acha Gambaz watengeneze zile raba na yeboyebo!

ccm2.jpg
CCM-bendera.jpg
AQ%5B1%5D.+1.jpg

Nani atauza hayo maji na viatu! Labda watoe bure maana hazina wateja! Watatumia viongozi wenyewe!
 
Hapa lazima watu wazima waharishe kwa wasiwasi, huu ni upanga wenye makali kuwili, chezeya M4C!


.......................................
Historia haiishiwi wino.
 
Wakiambiwa watu wamejipanga kuchukua nchi hawaamini waone kwa macho yao"
 
Subirini kazi ccm acheni kutoka povu. 2015 lazima tuwatoe kamasi
 
Acheni kushabikia hata vitu ambavyo sivyo, sasa watawapa akina nani? Uharibifu tu wa ruzuku!
Magamba bhana hivi akili zenu zimedumaa kiasi hiki kweli?Wewe unaona hii ni uharibifu wa ruzuku lakini huoni kodi zetu zinavyoliwa...hivi vyombo hapa ndio mtakaa tutafika mpaka uvunguni mwa kitanda kutoa elimu ya ukombozi,hakika mmeshikwa na kama mlifikiri Chadema inatishia nyau ni pale mtakapojikuta jela mafisadi woteeee!!!!
 
Hii ndiyo bidii ya ukombozi. CCM haina tena mbinu imehonga hadi ikawa kiwete. Mtwara imezidi kuwachanganya. M4C inazidi kuota mizizi. Watanzania tunaamka. Hapa ni mpaka kieleweke.
 
Kazi ipo Mwaka huu. CCM sijui mtatokea wapi....wanasema, A CHILD CAN DIE, BUT AN OLD MAN SHOULD DIE....sijui kati ya CCM na CHADEMA nani ni CHILD na nani ni OLDMAN.
 
Askari wa barabarani wamerahisishiwa
wenyewe watakuwa wanakagua hapo ktk nyekundi

wakiona hapo basi ukaguzi kabambe unafuata M4C tukutuku1.jpg
 
Back
Top Bottom