>Kunaujumbe waliou-tweet kwa mh.Membe wakisema "TZ KAMA MUNATAKA AMANI KWANINI MUSIUNGE MUKONO MAZUNGUMUZO?"
Alafu wakasema "WONGA WENU NDIO UNAOWACELEWESA KUJA"
>Swali la msingi alilolisema mh.Membe bungeni ni kwamba,kwanini wanaiogopa na kuitisha Tz tu ikiwa ni nchi nyingi zinazokwenda kongo?
kwa sababu tanzania jeshi lake sasa lina uwezo wa kupambana na chadema tu hata majangili wanaoua tembo wetu limewashindwa