Naona hizo site hazina majina na ikigoma husemi inaandikaje.. na sijui Kama umeshawauliza site husika kama wanaruhusu MasterCard ya mpesa!.. Sasa sijui utasaidiwa vipi.
Hebu tulia uandike vizuri acha mikato. Moja ya sehemu ya kutatua tatizo ni kulielezea vizuri.. Sasa we unaandika jaribu!!!!.. what if mtu hana mpango wa kununua kitu kwa wakati huu..?