Hii inahitaji utafiti zaidi
Jafar,
Kitu gani kinahitaji utafiti zaidi?
Hii inahitaji utafiti zaidi
kichwa chako kimeoza! Hata ukitumwa kumbaka mama yako mzazi, wewe utambaka tu provided ukiahidiwa ujira kidogo.
Aste Aste mzee
Wewe mjingamjinga umelipwa bei gani kusanbaza sumu hii?Katika hali isiyo ya kawaida Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake Chadema (BAWACHA) ameachwa katika uteuzi wa wabunge wa viti maalumu licha ya kuomba huku makamu wake, katibu mkuu wake, naibu katibu mkuu wake wakiteuliwa. hali hii ni picha mbaya kwani katika kura zilizopigwa na wanawake chadema mwezi august alikuwa namba 2 kabla hawajatoa visingizio vya uchaguzi kuharibika baada ya kuona wateule wao wakiwa wamefeli kwa mbali.
mchakato wa uteuzi uliofanyika na vigogo kina dr. slaa, mbowe na lissu umepelekea wanawake wengi wenye sifa kuachwa huku dada wa tundu lissu ambaye hana uzoefu wala mchango ndani ya chama akipewa ubunge, mke wa dr. slaa rose kamili naye kazawadiwa ubunge kutokana na kuwa kimya wakati wa sakata la mchumba na ilikuwa moja ya makubaliano ya ukimya wake. kama kawaida ndesamburo kaingiza binti yake na mkwewe katika ubunge na waliosalia wengi ni wapenzi wa vigogo.
katika hali hiyo tunashindwa kupima demokrasia wanayoipigia kelele kila siku.
cha kushangaza ni kitendo cha Dr. Mkumbo kuaibisha taaluma yake kwa kujitokeza mbele ya umma wa watanzania na kusema kuwa yeye ndie aliyeweka vigezo vya uteuzi, ni kwa nini asingewashauri kuruhusu demokrasia? ni kweli ktk demokrasia kuna vigezo vipi? mbona hata wenye sifa kubwa akiwemo huyo mwenyekiti wa wamama ambaye kapigania chama kwa miaka, ana elimu na uzoefu mkubwa kaachwa?
huu ni ubabaishaji wa hali ya juu.
Hayati Chacha Wangwe katika uhai wake alipigania sana haki ndani ya chadema na mojawapo ni uteuzi wa viti maalum kinddugu, kifamilia, kiukoo na kimapenzi.
katika hali hii hiyo demokrasia itajengwa vipi?
Katika hali isiyo ya kawaida Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake Chadema (BAWACHA) ameachwa katika uteuzi wa wabunge wa viti maalumu licha ya kuomba huku makamu wake, katibu mkuu wake, naibu katibu mkuu wake wakiteuliwa. hali hii ni picha mbaya kwani katika kura zilizopigwa na wanawake chadema mwezi august alikuwa namba 2 kabla hawajatoa visingizio vya uchaguzi kuharibika baada ya kuona wateule wao wakiwa wamefeli kwa mbali.
mchakato wa uteuzi uliofanyika na vigogo kina dr. slaa, mbowe na lissu umepelekea wanawake wengi wenye sifa kuachwa huku dada wa tundu lissu ambaye hana uzoefu wala mchango ndani ya chama akipewa ubunge, mke wa dr. slaa rose kamili naye kazawadiwa ubunge kutokana na kuwa kimya wakati wa sakata la mchumba na ilikuwa moja ya makubaliano ya ukimya wake. kama kawaida ndesamburo kaingiza binti yake na mkwewe katika ubunge na waliosalia wengi ni wapenzi wa vigogo.
katika hali hiyo tunashindwa kupima demokrasia wanayoipigia kelele kila siku.
cha kushangaza ni kitendo cha Dr. Mkumbo kuaibisha taaluma yake kwa kujitokeza mbele ya umma wa watanzania na kusema kuwa yeye ndie aliyeweka vigezo vya uteuzi, ni kwa nini asingewashauri kuruhusu demokrasia? ni kweli ktk demokrasia kuna vigezo vipi? mbona hata wenye sifa kubwa akiwemo huyo mwenyekiti wa wamama ambaye kapigania chama kwa miaka, ana elimu na uzoefu mkubwa kaachwa?
huu ni ubabaishaji wa hali ya juu.
Hayati Chacha Wangwe katika uhai wake alipigania sana haki ndani ya chadema na mojawapo ni uteuzi wa viti maalum kinddugu, kifamilia, kiukoo na kimapenzi.
katika hali hii hiyo demokrasia itajengwa vipi?
Special seats Members of Parliament
Chadema
1. Lucy Owenya (Kilimanjaro),
2. Esther Matiko (Mara)
3. Mhonga Luhanywa (Kigoma),
4. Anna Mallac (Katavi),
5. Paulina Gekul (Manyara)
6. Conchesta Rwalumulaza (Kagera).
7. Suzan Kiwanga (Morogoro),
8. Grace Kiwelu (Kilimanjaro),
9. Suzan Lyimo (Kilimanjaro),
10. Regia Mtema (Morogoro),
11. Christowaja Mtinda (Singida),
12. Anna Komu (Dar es Salaam),
13. Mwanamrisho Abama (Zanzibar),
14. Joyce Mukya (Arusha),
15. Leticia Mageni Nyerere (Mwanza)
16. Naomi Kaihula (Dar es Salaam).
17. Chiku Abwao (Iringa),
18. Rose Kamili (Manyara),
19. Christina Lissu (Singida),
20. Raya Ibrahim Khamis (Zanzibar),
21. Philipa Mturano (Dar es Salaam),
22. Mariam Msabaha (Zanzibar)
23. Rachel Mashishanga (Dar es Salaam).
Ndugu, CHADEMA huijui kabisa??!!!! Mi nadhani kasambaze uongo wako huko mbele ya safari.... BAWACHA huijui kwa kuwa wewe uko UWT.... Nani kakwambia kuna wake za watu pale.... watu wengine wajinga saaana ukiona inaishia Lissu tuu tayari umepagawa kama una nyege vile... Acha kuzusha mambo bibie!!!
Katika hali isiyo ya kawaida Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake Chadema (BAWACHA) ameachwa katika uteuzi wa wabunge wa viti maalumu licha ya kuomba huku makamu wake, katibu mkuu wake, naibu katibu mkuu wake wakiteuliwa. hali hii ni picha mbaya kwani katika kura zilizopigwa na wanawake chadema mwezi august alikuwa namba 2 kabla hawajatoa visingizio vya uchaguzi kuharibika baada ya kuona wateule wao wakiwa wamefeli kwa mbali.
mchakato wa uteuzi uliofanyika na vigogo kina dr. slaa, mbowe na lissu umepelekea wanawake wengi wenye sifa kuachwa huku dada wa tundu lissu ambaye hana uzoefu wala mchango ndani ya chama akipewa ubunge, mke wa dr. slaa rose kamili naye kazawadiwa ubunge kutokana na kuwa kimya wakati wa sakata la mchumba na ilikuwa moja ya makubaliano ya ukimya wake. kama kawaida ndesamburo kaingiza binti yake na mkwewe katika ubunge na waliosalia wengi ni wapenzi wa vigogo.
katika hali hiyo tunashindwa kupima demokrasia wanayoipigia kelele kila siku.
cha kushangaza ni kitendo cha Dr. Mkumbo kuaibisha taaluma yake kwa kujitokeza mbele ya umma wa watanzania na kusema kuwa yeye ndie aliyeweka vigezo vya uteuzi, ni kwa nini asingewashauri kuruhusu demokrasia? ni kweli ktk demokrasia kuna vigezo vipi? mbona hata wenye sifa kubwa akiwemo huyo mwenyekiti wa wamama ambaye kapigania chama kwa miaka, ana elimu na uzoefu mkubwa kaachwa?
huu ni ubabaishaji wa hali ya juu.
Hayati Chacha Wangwe katika uhai wake alipigania sana haki ndani ya chadema na mojawapo ni uteuzi wa viti maalum kinddugu, kifamilia, kiukoo na kimapenzi.
katika hali hii hiyo demokrasia itajengwa vipi?
Wewe umejaribu kuwasiliana na wahusika ukapeleka malalamiko yako wakashindwa kukujibu?
Hizo sifa unazosema wanazo ni zipi?
Tunaomba hii issue yako utupe evidence za kutetea unachokisema tafadhali,otherwise usituletee mambo ya hisia na chuki binafsi.
Nimesema watu tuwe na hekima ya kujibu humu tusije tukaonekana wote wahuni humu wakati sisi ni watu na heshima zetu. Ukikosolewa na kama mtu kakosea basi mjibu kwa hoja ya kumwelewesha na si ku mtukana mitusi. Mnatuchafulia mnataka tuonekane hatunazo wote . NATAKA MODS TUREJESHE HESHIMA HUMU NDANI TUONEKANE KWELI NI GREAT THINKERS NA SIYO MAKULI
tumeshasema humu si vikao vya chadema kwa mujibu wa katiba, habari hizo peleka kinondoni makao makuu ya chadema, hatutaki umea!!!!!!
wewe mjingamjinga umelipwa bei gani kusanbaza sumu hii?
Huoni kuwa umekuwa mpumbavu kukubali kazi ya wendawazimu kama hii?
Inakuwaje unaongea wakati hujui kitu kinachoendelea ndani ya chadema, wewe ndio speaker ya hao watu?
Wewe ni mbumbumbu, na dhambi hiyo itakutafuna mwenyewe kwa ujinga wako
hopeless!
Fool!
Useless!
Imbecile!
Nincompoop!
Kajaribishe kwengine