Watanzania bado wana matumaini nayo na wako tayari kukifia chama chao, kwani chama hiki kimetoa taifa hili mbali.
Wewe na wenzako wachache ndio wenye mawazo kuwa CCM ni chafu.
Jamani, kama mbinguni tu palipatikana na usaliti (bwana Ibilisi), sembuse CCM?