Tony Gwanco
JF-Expert Member
- Jan 22, 2013
- 5,913
- 1,208
ZeMarcopolo nakuaminia tupe za uhakika hata kama si kweli
matope kichwani hapa
ZeMarcopolo nakuaminia tupe za uhakika hata kama si kweli
...what happen to work doneHakimu kamuachia huru polisi wamemkamata hawajui kosa lakini wamesema watatafuta/kuchunguza kama anamakosa
Hahahahahaha hii ndo nchi polisi wanamkamata mtu hawajui kosa lakini watamtafutia kosa
Makubwa haya! Kila siku unanikashifu kuwa nimekithiri kwa matusi leo unanivika kilemba cha ukoka ili...............
Kwa hiyo mkuu, inabidi wamsikilize aliyewatuma kumkamata ili awaambie aina ya mashtaka mapya siyo? very sad.
Mkuu wa Kitengo cha Ulinzi na Usalama wa Chadema, Wilfred Muganyizi Lwakatare,
muda huu ameachiwa huru katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.
baada ya mashitaka yote yaliyokuwa yanamkabili kufutwa na muda huohuo kukamatwa tene na kufunguliwa mashitaka mengine.
Mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama wa CHADEMA Wilfred Lwakatare ameachiwa kwa dhamana baada ya kushikiliwa na jeshi la polisi kwa siku 6
kwa tuhuma za uchochezi lakini akakamatwa tena muda huo huo kwa tuhuma za ugaidi na kutakiwa kupelekwa ngazi ya
juu ya Mahakama kwa kuwa mahakama ya Kisutu haina mamlaka ya kusikiliza kesi ya ugaidi
Hahaaa nimegundua kitu kimoja kuwa hatujui sheria hivyo ni vyema tukafuata ushauri wa thatha kuwa tupitie sheria ingawa naye hajui sheria wala wajibu maana mwenziye kauliza swali zuri kajibiwa apitie sheria. Ni kweli kilichowekwa hapa hakijaeleweka maana Lwakatare kwa makosa aliyoshtakiwa nayo angepaswa kuomba kupewa dhamana na ndicho mawakili wake walichokuwa wanakihangaikia toka akamatwe. Tuambiwe ukweli kuwa amekubaliwa dhamana akaachiwa kwa masharti ya dhamana akadakwa kwa kosa jingine na siyo kuwa ameachiwa moja kwa moja kana kwamba makosa aliyosomewa alionewa tu la hasha. Kwa kosa lake la ugaidi mkicheza mnaofurahia na kuona ni jambo la kukinufaisha chama fulani na kukishusha chama fulani kama ilivyokuwa kwa Obote na wenziye waliomdanganya utashangaa kuona wamarekani wanaingia kati mwisho ndugu yetu gaidi anayechipukia kwa kudanganywa na chama anaishia guantanamo.
Tuache siasa chafu huku tukijificha kwenye mwavuli wa Demokrasia. Tanzania na watu na mali zake ziwe kwanza siyo vyama na madaraka.
Heading imekaa sawa hata kama mtu akichangia kesho. Mahaka,a imemuachia huru kwa makosa yaliyokuwa yakimkabili polisi wamemkamata tena kwa kosa ambalo bado halijajulikana.Labda uniambie hufahamu kiswahili sawasawa, ukiwa unajua kukosoa na kutoa lugha isiyofaa kubali pia kukosolewa, haukuzungumzia muda wa kuchangia umezungumzia heading hii ina maana hata miaka kumi ijayo kwako haeding iyakuwa haijakaa sawa kama muda umekubadilisha mawazo, omba msamaha kubali kuwa ulipotoka huo ndio uungwana kwani ulishaita watu wajinga. Usipige pige na kutapatapa simama katika hoja yako ya heading kutokuwa sawa, maana imekuwa kawaida kubadilisha au kupindisha hoja, unapoenda mtaani ukiwamtupu basi lazima ujiandae,
Wakuu,
My Take
Ma Kamanda Mikael P Aweda , Tumaini Makene, Ben Saanane, hebu fuatilieni hii issue kwa undani then tupe jibu la kueleweka, Wengine tushaanza kufungua Champaign tayar kusherehekea Aibu ya CCM.
Please hebu lete habari za kueleweka ili niagize Tusker Barid hapa Ofisini
kwenye red ndipo kwenye majibu, sawa mdogoangu.....??? aliachiwa kwa dhamana, ila akadakwa kwa polisi, kwa tuhuma za ugaidi....Mind you, kisutu haina hadhi ya kusikiliza kesi za ugaidi, hivyo haina mamlaka ya kutoa dhamana kwa mtuhumiwa wa kosa la ugaidi....dhamana waliyompa ni ile ya yale makosa matatu...umenielewa???Ndugu yangu mwenye uelewa mkubwa wa sheria hebu tuambie nini kinaweza kuwa kimetoke? Je inawezekana ameeachiwa kwa dhamana ndipo polisi wakaja tena kumkamata kwa kosa lingine? Kwa hiyo kama kweli aliachiwa huru kwa sababu yoyote ile utakuwa tayari kuja hapa na utaalamu wako wa sheria kutuambia nini ambacho ulikuwa hukijui kuhusu sheria?
There are currently 1683 users browsing this thread. (229 members and 1454 guests)
tunasubiri kupata maendeleo ya kesi mpya ya lwakatale wa ungwanaThibitisheni wakuu mliopo eneo la Mahakama,kama ameachiwa then kukamatwa tena kosa lake nn haswa?