Lutheran Primary School Moshi ilivyokuwa 1958 na sasa

Mohamed Said, huchoki kusema uongo? Aliyeasisi na aliyekuwa Rais wa kwanza wa AA mwaka 1929 alikuwa ni Mwalimu Cecil Matola au unataka tukumbushane?

Mohamed Said, uongo mwingine huu. Hebu elezea...Abdul Sykes aliupataje U-President wa TAA 1951? Alichaguliwa na nani katika kikao gani? Yawezekana alikaimu hiyo nafasi baada ya bosi wake, Dr Vedasto Kyaruzi kupewa uhamisho na Wakoloni.

Mohamed Said, duh! Hata aibu hakuna. Eti TAA ilikufa baada ya Nyerere kuchaguliwa kuwa kiongozi wake mkuu (President). Huu uzushi unautoa wapi? Believe this and you will believe anything (James Hadley Chase!)

Naomba usiturudishe katika historia ya nyumba walikokuwa wakikutana waasisi wa AA mwaka 1929!
Mag...
Mbona umeghadhibika?

Huu ni mjadala wa historia ambayo hakuna yeyote aliyepata kuijua ila wenyewe waliohusika na kuunda TANU.

Kwa nini ughadhibike na kuandika kwa ufedhuli?

Mbona mie naandika taratibu?

Ikiwa huamini niyasemayo kwangu si tatizo.

Bakia na hicho unachokiamini.
This is for Real (James Hadley Chase).
 
Mag...
Mbona umeghadhibika?

Huu ni mjadala wa historia ambayo hakuna yeyote aliyepata kuijua ila wenyewe waliohusika na kuunda TANU.

Kwa nini ughadhibike na kuandika kwa ufedhuli?

Mbona mie naandika taratibu?

Ikiwa huamini niyasemayo kwangu si tatizo.

Bakia na hicho unachokiamini.
This is for Real (James Hadley Chase).

Hii nimeikuta mahali:

Wenzetu wachina wamehifadhi vizuri taarifa za historia yao.

Wameweka wazi kuwa Mao na wenzake 11 (jumla watu 12) ndio waliokutana hapo 23.07.1921 kuasisi CPC.

1. Mao Zedong
2. Dong Biwu
3. Li Hamjun
4. Li Da
5. Chen Tanqiu
6. Liu Renjing
7. Zhou Fohai
8. He Shuheng
9. Deng Enming
10. Henk Sneevliet
11. Li Lisan
12. Qu Quibai

Mchina yeyote anawajua hao kwa majina yao kuwa ndio waasisi wa CPC na haikufichwa kwa kusemwa eti "Mao Zedong na rafiki zake".

Wamehifadhi vizuri hadi chumba ulipofanyika mkutano huo wa kitaifa ulioiasisi CPC.

Sisi historia yetu imekuwa ya kufinyangafinyanga, kufichaficha ndio maana leo unapoandika kuhusu Sykes family na mchango wao unapata maswali kama hayo kwa kuwa wengi hawajui ukweli katika uhalisia wake.
 
Hii nimeikuta mahali:

Wenzetu wachina wamehifadhi vizuri taarifa za historia yao.

Wameweka wazi kuwa Mao na wenzake 11 (jumla watu 12) ndio waliokutana hapo 23.07.1921 kuasisi CPC.

1. Mao Zedong
2. Dong Biwu
3. Li Hamjun
4. Li Da
5. Chen Tanqiu
6. Liu Renjing
7. Zhou Fohai
8. He Shuheng
9. Deng Enming
10. Henk Sneevliet
11. Li Lisan
12. Qu Quibai

Mchina yeyote anawajua hao kwa majina yao kuwa ndio waasisi wa CPC na haikufichwa kwa kusemwa eti "Mao Zedong na rafiki zake".

Wamehifadhi vizuri hadi chumba ulipofanyika mkutano huo wa kitaifa ulioiasisi CPC.

Sisi historia yetu imekuwa ya kufinyangafinyanga, kufichaficha ndio maana leo unapoandika kuhusu Sykes family na mchango wao unapata maswali kama hayo kwa kuwa wengi hawajui ukweli katika uhalisia wake.

 
Nimesoma hicho kipande hata nilivyo mvivu kusoma nilitamani uendelee kuandika.

Hongera kaka,
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom