Lusinde: Kiti cha spika kinapwaya

naunga mkono wabunge aina ya lusinde wanaliaibisha bunge, wanaliaibisha taifa! Poleni wana mtera.
 
Wana mtera mkirudisha hiki kiazi mwaka huu itabidi jimbo Zima mkapimwe akili tena uzuri hospitali ya magonjwa ya akili iko hapo hapo mkoani kwenu dodoma.
 

Shida inakuja kuwa wapiga kule wengi vijiji hawana elimu hivyo wanamchagua mtu wa kufanana nao, wao kwao elimu sio tija ila vile vikofia na vitisheti
 
Kilichopwaya ni kiti cha Lusinde! Ndiyo maana na kujikomba kwake kote, hata JK ameona kwamba hamfai katika Baraza lake dhaifu la mawaziri.
haa haa lusinde awe waziri! Toba!! Hapo wizarani muda wote vitapigwa vichekesho na komedi za nguvu badala ya kuwatumikia watanzania!
 
Wana mtera mkirudisha hiki kiazi mwaka huu itabidi jimbo Zima mkapimwe akili tena uzuri hospitali ya magonjwa ya akili iko hapo hapo mkoani kwenu dodoma.
haa haaa...yaani jimbo zima wamekosa mtu wa kuwawakilisha bungeni wakampata lusinde! Kama taifa kwenye elimu tumekwama kama wabunge wenyewe ndo hawa"
 
Wenginajadili upuuzi, hii inanishawishi wengi mlifuata magamba vyuoni na mashuleni, mtu aliyeelimisha hujadili mambo muhimu na kutoa suluhisho ya nini kifanyike kwa maslahi ya nchi yetu. Mm c muumini wa siasa, ola kwa style hii upinzani tz itabidi wasubiri sana, other wise badilikeni, kwa kufanya siasa za kistarabu.
 
Sio kwamba kiti cha spika kinapwaya,ccm huwa wanamtegemea Mwigulu awashambulie wapinzani,lakini sasa hivi Mwigulu ameona anapoteza nguvu nyingi peke yake wakati wenzake wanatumia muda mwingi kusaka urais.Kuna wengine hawatumikii chama wanasubiri urais tu.
 
Lusinde amesema makinda anapwaya kwa kuwa sasa hivi halindi maslahi ya ccm, anafuata pressure ya UKAWA, na kwa kufanya hivo CCM inaumizwa kwa kuonekana hamna wanalolifanya.

Wamfundishe nidhamu kama mtiifu Samwel Sitta
 

Ni wale wabunge wa nyama choma na DADA POA.
 
Huyujamaa sijuii walimpaje ubunge alitakiwa aawe anauza chaja za techno. Na. Huawei. Pale sinza vibandani
 
Utafiti wangu unaonesha.kuwa kibajaji akiongea wale waropokaji nassari na lema wanatulia tuliiii sijui kwa nini!
 
Lusinde hajui kanuni. TL alimbana spika kwa kanuni
 

Mkuu ndio maana utawala unawashinda,kwahiyo Lusinde hata akiongea points za msingi apingwe na Cdm?,na Zito akifanya utumbo asisemwe kwa kua ni upinzani?Acha fikra mgando mkuu,hiyo inadhihiridha jinsi ulivyo boya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…