Lusinde (Kibajaji) ni mvivu kusoma

Lusinde (Kibajaji) ni mvivu kusoma

Huwa analishwa maneno na wabunge wenzake ndiyo anatapika bungeni.... sasa kwa vile hana akili za kuchambua yaliyo sahihi anaonekana bogus siku zote. Kuna siku alikuwa anachangia wizara fulani sikuumbuki akasema uchumi wetu haukui kwa sababu kwenye noti zetu tumeweka picha ya Twiga...... Nilicheka sana! Kumbe ni Kichwa chake ndani kina utupu, akivaa suti utadhani ni mtu aliyekamilika kumbe....,


Hhahahahaa...kazi kweli kweli,kwa staili ya wabunge kama kibajaji maendeleo tusahau!
 
Hapana siyo kweli tutoe ushabiki mbona hata Chadema kuna wabunge wengi hawana elimu pale Bungeni.

Unaweza kunipa elimu ya Mbowe, Lema, Sugu.
Mkuu angalao hao ulowataja walisoma masomo yasiyopungua 6 kwa lugha ilokuja na ndege yaani kiingereza kwa maana wamefika angalao fom foo!Ndo maana tunasema better is not best among the best.kwani ukiishia hata o level lakini ukapata ziro ni tofauti na yule ambaye hakuhudhuria kabisa kipengele hicho.Any way tumombe mungu.

 
Mbunge std 4
Dereva wa serikali form 4!
Bungeni mnatarajia ataongea nini zaidi ya mipasho na uswahili!
 
Back
Top Bottom