Lusinde (Kibajaji) ni mvivu kusoma

SOCIOLOGISTTZ

JF-Expert Member
Jun 16, 2013
2,616
925
Mbunge wa Mtera ndugu Livingstone Lusinde au Kibajaji amekuwa akisema mara kwa mara kuwa hajasoma kwa sababu wazazi wake walifariki wakati yeye akiwa darasa la nne. Kwa ufupi shule ya Msingi ndiyo ikawa mwisho wa elimu ya Kibajaji.

Mawazo au malalamiko haya ya kibajaji hayana mashiko kwa sasa hivi kwani mtu anaweza kuendelea na elimu hata anapokuwa mtu mzima. Hata hapo bungeni ajaribu kuuliza wabunge wenzake kuhusu swala la elimu kwani kuna wengine wamepata diploma, first degree, Masters na Hata Phd wakiwa bungeni. na labda wametokea kwenye familia zenye matatizo kuliko yeye.

Kibajaji kama angetaka kujiendeleza angeanza kusoma QT (qualification Test) hapo ni mwaka mmoja, ikiwa ni elimu sawa kabisa na ya form one na form two. Baada ya hapo angesoma form 3 na 4 kwa mwaka mmoja. Yaani form one mpaka form 4 angesoma kwa miaka 2 tu. halafu form 5 na form six angesoma kwa mwaka mmoja tu. Labda kama ni kilaza wa kufa mtu. Nafasi anayo yakufanya hivyo. Tangua aingie bungeni mpaka sasa hivi yaani muda wa miaka 5 ungekuta anamalizia mwaka wa 3 chuo kikuu. Na hapa alikuwa na nafasi mbalimbali alizopita kabla ya kuwa mbunge angeweza kujiendeleza.

Kwa ufupi ni kwamba Kibajaji amechagua ujinga badala ya elimu, na kama tujuavyo elimu ya mjinga ni majungu (hata TOT waliimba hivyo).

Hivyo kupitia kibajaji msitegemee kupata hoja za maana za kuendeleza nchi yetu na badala yake atakuwa akiongea majungu, matusi(kama alivyofanya Arumeru Mashariki) na upotoshaji kwa kutojua kama alivyofanya kwenye swala la ESCROW. Wananchi wa Mtera nawapa pole sana kwa kuchagua Mbumbu huyu, awamu hii ya uchaguzi mfikirie mara mbili kabla ya kufanya uwamuzi. Msikubali kuendelea kuchagua mbumbu la kujitakia. Ushauri wangu kwa kibajaji au Livingstone Lusinde kuwa aanze kujiendeleza kwani fursa ipo na aache kulalamika kuwa aliachwa yatima akiwa darasa la nne.

ELIMU NI UFUNGUO WA MAISHA MHESHIMIWA LIVINGSTONE LUSINDE

 
Nimepita Mtera mwaka juzi from Dodoma to Iringa, hakuna umeme hakuna chochote, kwa ujumla hali ya umasikini kule inatisha sana, ni kweli maeneo mengi ya Tanzania yana umasikini but wa Mtera ni mbaya, ccm pia hushinda kwa kishindo kwenye maeneo ya jinsi hiyo, pitia pia michango ya watu kwenye uzi huu https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...anapendwa-sehemu-zisizokuwa-na-maendeleo.html so siwezi kushangaa Lusinde akirudi tena bungeni, kwa ufupi ujinga na umasikini ni mtaji mkubwa sana kwa ccm.

o
 
2723971400000578-3018507-image-a-12_1427739525579.jpg
 
Mbunge wa Mtera ndugu Livingstone Lusinde au Kibajaji amekuwa akisema mara kwa mara kuwa hajasoma kwa sababu wazazi wake walifariki wakati yeye akiwa darasa la nne. Kwa ufupi shule ya Msingi ndiyo ikawa mwisho wa elimu ya Kibajaji.

Mawazo au malalamiko haya ya kibajaji hayana mashiko kwa sasa hivi kwani mtu anaweza kuendelea na elimu hata anapokuwa mtu mzima. Hata hapo bungeni ajaribu kuuliza wabunge wenzake kuhusu swala la elimu kwani kuna wengine wamepata diploma, first degree, Masters na Hata Phd wakiwa bungeni. na labda wametokea kwenye familia zenye matatizo kuliko yeye.

Kibajaji kama angetaka kujiendeleza angeanza kusoma QT (qualification Test) hapo ni mwaka mmoja, ikiwa ni elimu sawa kabisa na ya form one na form two. Baada ya hapo angesoma form 3 na 4 kwa mwaka mmoja. Yaani form one mpaka form 4 angesoma kwa miaka 2 tu. halafu form 5 na form six angesoma kwa mwaka mmoja tu. Labda kama ni kilaza wa kufa mtu. Nafasi anayo yakufanya hivyo. Tangua aingie bungeni mpaka sasa hivi yaani muda wa miaka 5 ungekuta anamalizia mwaka wa 3 chuo kikuu. Na hapa alikuwa na nafasi mbalimbali alizopita kabla ya kuwa mbunge angeweza kujiendeleza.

Kwa ufupi ni kwamba Kibajaji amechagua ujinga badala ya elimu, na kama tujuavyo elimu ya mjinga ni majungu (hata TOT waliimba hivyo).

Hivyo kupitia kibajaji msitegemee kupata hoja za maana za kuendeleza nchi yetu na badala yake atakuwa akiongea majungu, matusi(kama alivyofanya Arumeru Mashariki) na upotoshaji kwa kutojua kama alivyofanya kwenye swala la ESCROW. Wananchi wa Mtera nawapa pole sana kwa kuchagua Mbumbu huyu, awamu hii ya uchaguzi mfikirie mara mbili kabla ya kufanya uwamuzi. Msikubali kuendelea kuchagua mbumbu la kujitakia. Ushauri wangu kwa kibajaji au Livingstone Lusinde kuwa aanze kujiendeleza kwani fursa ipo na aache kulalamika kuwa aliachwa yatima akiwa darasa la nne.

ELIMU NI UFUNGUO WA MAISHA MHESHIMIWA LIVINGSTONE LUSINDE


cyo kila unaemwona ana kichwa ukafikir ni kichwa hata km ni mheshimiwa sana, wengine wamebeba matikiti maji, kabeji, nazi na kazalika!
 
Mbunge wa Mtera ndugu Livingstone Lusinde au Kibajaji amekuwa akisema mara kwa mara kuwa hajasoma kwa sababu wazazi wake walifariki wakati yeye akiwa darasa la nne. Kwa ufupi shule ya Msingi ndiyo ikawa mwisho wa elimu ya Kibajaji.

Mawazo au malalamiko haya ya kibajaji hayana mashiko kwa sasa hivi kwani mtu anaweza kuendelea na elimu hata anapokuwa mtu mzima. Hata hapo bungeni ajaribu kuuliza wabunge wenzake kuhusu swala la elimu kwani kuna wengine wamepata diploma, first degree, Masters na Hata Phd wakiwa bungeni. na labda wametokea kwenye familia zenye matatizo kuliko yeye.

Kibajaji kama angetaka kujiendeleza angeanza kusoma QT (qualification Test) hapo ni mwaka mmoja, ikiwa ni elimu sawa kabisa na ya form one na form two. Baada ya hapo angesoma form 3 na 4 kwa mwaka mmoja. Yaani form one mpaka form 4 angesoma kwa miaka 2 tu. halafu form 5 na form six angesoma kwa mwaka mmoja tu. Labda kama ni kilaza wa kufa mtu. Nafasi anayo yakufanya hivyo. Tangua aingie bungeni mpaka sasa hivi yaani muda wa miaka 5 ungekuta anamalizia mwaka wa 3 chuo kikuu. Na hapa alikuwa na nafasi mbalimbali alizopita kabla ya kuwa mbunge angeweza kujiendeleza.

Kwa ufupi ni kwamba Kibajaji amechagua ujinga badala ya elimu, na kama tujuavyo elimu ya mjinga ni majungu (hata TOT waliimba hivyo).

Hivyo kupitia kibajaji msitegemee kupata hoja za maana za kuendeleza nchi yetu na badala yake atakuwa akiongea majungu, matusi(kama alivyofanya Arumeru Mashariki) na upotoshaji kwa kutojua kama alivyofanya kwenye swala la ESCROW. Wananchi wa Mtera nawapa pole sana kwa kuchagua Mbumbu huyu, awamu hii ya uchaguzi mfikirie mara mbili kabla ya kufanya uwamuzi. Msikubali kuendelea kuchagua mbumbu la kujitakia. Ushauri wangu kwa kibajaji au Livingstone Lusinde kuwa aanze kujiendeleza kwani fursa ipo na aache kulalamika kuwa aliachwa yatima akiwa darasa la nne.

ELIMU NI UFUNGUO WA MAISHA MHESHIMIWA LIVINGSTONE LUSINDE


Huyu bwana alikua MC kwenye kipaimara changu..usitegemee jambo lolote la maana toka kwake..alianza harakati za siasa kitambo..mwaka 2000 aliwahi kugombea ubunge jimbo la kawe kupitia NLD sijui hiki chama kilifia wapi!
 
Mbunge wa Mtera ndugu Livingstone Lusinde au Kibajaji amekuwa akisema mara kwa mara kuwa hajasoma kwa sababu wazazi wake walifariki wakati yeye akiwa darasa la nne. Kwa ufupi shule ya Msingi ndiyo ikawa mwisho wa elimu ya Kibajaji.

Mawazo au malalamiko haya ya kibajaji hayana mashiko kwa sasa hivi kwani mtu anaweza kuendelea na elimu hata anapokuwa mtu mzima. Hata hapo bungeni ajaribu kuuliza wabunge wenzake kuhusu swala la elimu kwani kuna wengine wamepata diploma, first degree, Masters na Hata Phd wakiwa bungeni. na labda wametokea kwenye familia zenye matatizo kuliko yeye.

Kibajaji kama angetaka kujiendeleza angeanza kusoma QT (qualification Test) hapo ni mwaka mmoja, ikiwa ni elimu sawa kabisa na ya form one na form two. Baada ya hapo angesoma form 3 na 4 kwa mwaka mmoja. Yaani form one mpaka form 4 angesoma kwa miaka 2 tu. halafu form 5 na form six angesoma kwa mwaka mmoja tu. Labda kama ni kilaza wa kufa mtu. Nafasi anayo yakufanya hivyo. Tangua aingie bungeni mpaka sasa hivi yaani muda wa miaka 5 ungekuta anamalizia mwaka wa 3 chuo kikuu. Na hapa alikuwa na nafasi mbalimbali alizopita kabla ya kuwa mbunge angeweza kujiendeleza.

Kwa ufupi ni kwamba Kibajaji amechagua ujinga badala ya elimu, na kama tujuavyo elimu ya mjinga ni majungu (hata TOT waliimba hivyo).

Hivyo kupitia kibajaji msitegemee kupata hoja za maana za kuendeleza nchi yetu na badala yake atakuwa akiongea majungu, matusi(kama alivyofanya Arumeru Mashariki) na upotoshaji kwa kutojua kama alivyofanya kwenye swala la ESCROW. Wananchi wa Mtera nawapa pole sana kwa kuchagua Mbumbu huyu, awamu hii ya uchaguzi mfikirie mara mbili kabla ya kufanya uwamuzi. Msikubali kuendelea kuchagua mbumbu la kujitakia. Ushauri wangu kwa kibajaji au Livingstone Lusinde kuwa aanze kujiendeleza kwani fursa ipo na aache kulalamika kuwa aliachwa yatima akiwa darasa la nne.

ELIMU NI UFUNGUO WA MAISHA MHESHIMIWA LIVINGSTONE LUSINDE


Naamini sana ktk kufanikiwa kupitia elimu kuanzia ngazi ya familia hadi taifa;lkn cha kushangaza hata kwenye majimbo yanayoongozwa na phd holders nk bado hali si shwari;so kuna kitu cha kuangalia zaidi ya elimu ya mtu;ila tuandamane wabunge wetu kama hawa wakasome sio aibu kwake tu bali n kwa taifa zima
 
Yaani umemweleza ukweli mtupu. Kuna watu wajinga huwa wanaishi na kujisikia fahari kwa matatizo yaliyowapata huko nyumba lakini hawafanyi juhudi yoyote kutafuta kile walichokikosa kama elimu. Badala yake wanaona sifa kusema Oh mimi nimekuwa kwa taabu baada ya wazazi wangu kufariki nk. Sasa badala ya kufanya juhudi wanabaki vile vile kama huyo mdomo mchafu Lusinde na mwenzake Profesa Maji mafupi na matunguli yake. Mbona wenzao wameunga unga elimu mpaka kufikia masters wao kazi kupiga kelele tu zisizokuwa na mashiko. Yaani huyo mista mitusi akisoma hapa asipoelewa basi kichwani kwake hakuna kitu. Hata hivyo amechelewa sana! SOMA SHULE KIBAJAJI ACHA MATUSI!
 
Back
Top Bottom