Lusinde adai Spika anaelekezwa na chama kuwatoa wabunge wa upinzani Bungeni

Tungekuwa na tume huru. na vyombo huru. hiki. chama kilipaswa. kuomba radhi umma. wa watanzania. kwa kuonyesha ubaguzi wa wazi. ubaguzi ni dhambi mbaya sana. taifa letu ni muhimu kuliko. chama chochote kile.kodi zinakusanywa kutoka kwa watanzania wote.
Ni wakati muafaka kwa wabunge wa upinzani wakahifadhi hayo matamshi ya lusinde ili wakayasimamie bungeni ili serikali itoe tamko juu ya hilo
 
Kijana Lusinde ameeleza kuwa chama Cha Mapinduzi kimekuwa kikizuia wananchi wa maeneo yaliyowachagua wapinzani kupelekewa miradi ya maendeleo kwa lengo la kuwafanya wananchi wakasirike na kuacha kuwachagua viongozi wa upinzani. Ameyasema hayo kwenye kampeni za Ubunge ukonga na kuongeza kuwa katika majimbo ya wapinzani wapo Watanzania lakini wanapaswa kujutia maamuzi na ya kuchagua upinzani na uchaguzi mwingine wachague CCM.

Ameendelea kusema kuwa wao ndani ya chama ukaa kwenye vikao na kusikiliza hoja za mawaziri na pale inapoletwa hoja ya kuwapelekea maendeleo wananchi waliokatika majimbo ya upinzani waziri husika uelekezwa kuhamishia miradi hiyo kwa majimbo ya chama tawala.

Kuhusu wabunge wa upinzania kuchachama Bungeni, amesema kuwa chama utoa maelekezo kwa Spika kwamba Mbunge yeyote wa upinzani anayebainika kujenga hoja na kupingana na matakwa ya chama tawala lazima atolewe ndani ya Bunge.

Swali langu kwa uongozi wa Bunge, kauli hizi kwao hawaoni Kama zinaondoa kabisa tafsiri ya Bunge na kubakia kuwa chombo au taasisi ya chama Tawala?Ni wakati gani muhimili huu unakuwa independent kama umekuwa ukiingiliwa na kufanya maamuzi kwa matakwa ya watu wachache ambao kwao chama ndio kipaombele na siyo Watanzania?

Haya yanatamkwa hadharani kwa sababu viongozi wa muhimili huu wameshindwa kabisa kutenganisha Bunge na itikadi zao za vyama na nilitegemea suala kama la Lusinde likemewe na watu wote wakiwemo viongozi wa Bunge lakini Hadi Sasa kimya.

Ngoma ikivuma Sana inakaribia kupasuka, CCM inaona ufahari kwa haya yanayotokea lakini kisiasa wanajichimbia kaburi maana haki ikipokonywa kwa wananchi itapokonywa pia kwa viongozi wa siasa na hivyo wanaoishi Kama malaika leo kesho wataishi kwa kusaga meno. It's just a matter of time and if you don't believe ask Sumaye, Lowasa, Mwigulu, Nape, Mrema, Marando, Mwandosya, Mwapachu, Msalimie seif etc, Waliamini kuhusu CCM lakini baadaye CCM iliwakataa na waliporudi kwa wananchi wanaumizwa na mfumo walioutengeza wao.
Angeeleza kwa ushaidi kabsa kua mradi wa labda umeme au kilimo cha umwagiliaji au barabara iliyokua inaenda mbeya au rombo ,au hai ambapo ni majimbo yanayo ongozwa na cdm ,walikua wapelekewe miradi iyo ila yy akapewa mradi huo au ukapelekwa jimbo la msukuma , afu yy pia angeeleza kwa nn mkoa wake unaongoza kwa umaskin na wananchi fukara sana na omba omba hapa tz
 
Mkuu sema lusinde na kundi lake ndio wanastahili kuitwa hayo majina maana ukisema watanzania unatuonea sisi wengine tusiyo na vyama wala hatujihusishi na siasa za maji taka
Mkuu hata kama huna chama kauli kama hizi zinakugusa.Yamkin unaishi jimbo ambalo linaongozwaa na upinzani.Sasa kama kweli ndo uzalendo wa kushangilia kila kitu sio poa.Maana TRA wanajitahidi kukusanya kodi kila mahali hawa wanasiasa uchwara wanatutukan tena bila woga
 
Mkuu hata kama huna chama kauli kama hizi zinakugusa.Yamkin unaishi jimbo ambalo linaongozwaa na upinzani.Sasa kama kweli ndo uzalendo wa kushangilia kila kitu sio poa.Maana TRA wanajitahidi kukusanya kodi kila mahali hawa wanasiasa uchwara wanatutukan tena bila woga
Nakubaliana na wewe kwakweli ccm wanatulazimisha kwenda kusiko
 
Angeeleza kwa ushaidi kabsa kua mradi wa labda umeme au kilimo cha umwagiliaji au barabara iliyokua inaenda mbeya au rombo ,au hai ambapo ni majimbo yanayo ongozwa na cdm ,walikua wapelekewe miradi iyo ila yy akapewa mradi huo au ukapelekwa jimbo la msukuma , afu yy pia angeeleza kwa nn mkoa wake unaongoza kwa umaskin na wananchi fukara sana na omba omba hapa tz
Kibajaj atakuja kuligharimu taifa baada ya watu kufarakana
 
Watu wanamdharau sana Lusinde kuwa hana elimu, mropokaji na ni lile kundi la aliosema mwenyekiti wake kuwa wamo humo.
Jamani kweli kila binadamu ana umuhimu wake hata awe kichaa kiasi gani! Bado kuna LA muhimu analo, sii mmeona maneno aliyosema Lusinde? Sasa siri hadharani kabisa. Jee Mbunge gani wa ccm aliyekamili kichwani angeweza kutoa siri hiyo!
 
Mkuu hata kama huna chama kauli kama hizi zinakugusa.Yamkin unaishi jimbo ambalo linaongozwaa na upinzani.Sasa kama kweli ndo uzalendo wa kushangilia kila kitu sio poa.Maana TRA wanajitahidi kukusanya kodi kila mahali hawa wanasiasa uchwara wanatutukan tena bila woga
Shida. kubwa ni elimu tu. ya wabunge wetu. kodi. zinakusanywa. kutoka. kwa watu wote bila kujali. tofauti zao za vyama,kabila, dini au rangi. miradi ya maendeleo yapaswa kupelekwa kote nchini. kwani huko walikochagua upinzani hakuna wanaccm? hii kauli ipasswa. kulaaniwa na watanzania wote bila kujali itikadi zao. nchi kwanza mengine baadae.
 
Shida. kubwa ni elimu tu. ya wabunge wetu. kodi. zinakusanywa. kutoka. kwa watu wote bila kujali. tofauti zao za vyama,kabila, dini au rangi. miradi ya maendeleo yapaswa kupelekwa kote nchini. kwani huko walikochagua upinzani hakuna wanaccm? hii kauli ipasswa. kulaaniwa na watanzania wote bila kujali itikadi zao. nchi kwanza mengine baadae.
Kweli kabisa
 
Ni wakati muafaka kwa wabunge wa upinzani wakahifadhi hayo matamshi ya lusinde ili wakayasimamie bungeni ili serikali itoe tamko juu ya hilo
ni kweli. wabunge. wa upinzani. wapeleke. bunge hoja hii na. wambane. spika. hatuwezi. shabikia. watu. wanailigaawa taifa letu kisa Madaraka.
 
Watu wanamdharau sana Lusinde kuwa hana elimu, mropokaji na ni lile kundi la aliosema mwenyekiti wake kuwa wamo humo.
Jamani kweli kila binadamu ana umuhimu wake hata awe kichaa kiasi gani! Bado kuna LA muhimu analo, sii mmeona maneno aliyosema Lusinde? Sasa siri hadharani kabisa. Jee Mbunge gani wa ccm aliyekamili kichwani angeweza kutoa siri hiyo!
Kweli mkuu kumbe hata ukiwa kichaa bado unamahali utasaidia
 
Shida. kubwa ni elimu tu. ya wabunge wetu. kodi. zinakusanywa. kutoka. kwa watu wote bila kujali. tofauti zao za vyama,kabila, dini au rangi. miradi ya maendeleo yapaswa kupelekwa kote nchini. kwani huko walikochagua upinzani hakuna wanaccm? hii kauli ipasswa. kulaaniwa na watanzania wote bila kujali itikadi zao. nchi kwanza mengine baadae.
Pamoja na kukosa elimu ila siyo wote wasiyo na elimu bali ukishaingia kwenye system ya ccm lazima unasahaulishwa habari za elimu yako
 
ni kweli. wabunge. wa upinzani. wapeleke. bunge hoja hii na. wambane. spika. hatuwezi. shabikia. watu. wanailigaawa taifa letu kisa Madaraka.
Nafikiri hii ndiyo njia iliyo bora na wasipo jibu hii hoja basi watanzania tuna akili zetu
 
Watu wanamdharau sana Lusinde kuwa hana elimu, mropokaji na ni lile kundi la aliosema mwenyekiti wake kuwa wamo humo.
Jamani kweli kila binadamu ana umuhimu wake hata awe kichaa kiasi gani! Bado kuna LA muhimu analo, sii mmeona maneno aliyosema Lusinde? Sasa siri hadharani kabisa. Jee Mbunge gani wa ccm aliyekamili kichwani angeweza kutoa siri hiyo!
Pia.tuna waandishi. wa habari. dhaifu. kauli hizi. walipaswa. kumbana. kwa. maswali. kuanzia. lusinde. hadi polepole afafanue maana yake.
 
Kuwabana watoe ufafanuzi haisaidii. Watakanusha na kuruka kimanga. Kama tu wanavyofanya juu ya ununuzi wa wanasiasa, wakiulizwa hawakubali kamwe.

Ila kujua kweli ni vzr.. Itafika wakati wananchi wenyewe watajua namna ya kushughulikia hii shida.. Mtoto wa simba hafundishwi kuuma
 
Jana nimsikia kwa umakini mkubwa mbunge wa mtera Bw.Lusinde ktk kampeni za jimbo la Ukonga akisema kuwa CCM hukaa vikao na kuamua kutopeleka maendeleo kwenye maeneo ambayo Upinzani umeshinda.Hakika ni hoja ya ajabu kabisa kwani huwakomoi wapinzani unawakimoa na wanaccm wa jimbo hilo na pia ni dhambi kubwa sana kuleta ubaguzi wakati hata hao wapinzani mbona wanalipa kodi kwa ajili ya maendeleo binafsi viongozi wenye mtazamo huo ni wa ajabu sana .
 
Back
Top Bottom