- Kamanda pona haraka urudi kwenye mapambano, maana ndio kwanza yameanza, Mungu sio fisadi kama tulivyoongea juzi ukiwa Biharamulo kwamba huu ni mwanzo tu wa vita vya kweli vya kuleta mabadiliko kwa taifa letu.
- Nitakutwangia baadaye.
Respect.
Kamanda Field Marshall Es.