Hahaha unachekeeesha we subiri hukumu ukweli utajulikana. Eti ana watu wengi hawezi kuwa gaidi nani kakudanganyaHaya yanayotokea Mahakamani ni Mpango wa Mungu mwenyewe kuwaumbua watawala wa Tanzania .
Haiwezekani Mtuhumiwa wa Ugaidi awe na wafuasi wengi kiasi hiki , hili ni fundisho kubwa sana .
View attachment 2022461
View attachment 2022477
View attachment 2022458
na wazungu walikuwepo kushangilia au wamebaki hao wachache tu mashabiki maandazi?Haya yanayotokea Mahakamani ni Mpango wa Mungu mwenyewe kuwaumbua watawala wa Tanzania .
Haiwezekani Mtuhumiwa wa Ugaidi awe na wafuasi wengi kiasi hiki , hili ni fundisho kubwa sana .
View attachment 2022461
View attachment 2022477
View attachment 2022458
Hapa ndio hua mnakosea, mbowe hampaswi kumhusisha sana na watu wa kabila lakeLICHAGA
Kwa hiyo Ukonga Maximum Prison na Mahakama ya pale Law School ni nchi?Umaarufu wa Mbowe sasa unavuka mipaka ya nchi.
Kwa mujibu wa wenye akili na uelewa, ila kwa wenye akili 'duni' ni ngumu kujua hili.Kwa mujibu wa nani?
Mwamba analindwa na Mungu.Haya yanayotokea Mahakamani ni Mpango wa Mungu mwenyewe kuwaumbua watawala wa Tanzania .
Haiwezekani Mtuhumiwa wa Ugaidi awe na wafuasi wengi kiasi hiki , hili ni fundisho kubwa sana .
View attachment 2022461
View attachment 2022477
View attachment 2022458
Na wewe ni Bavicha😅😅Mpiga picha bavicha, washangiliaji bavicha, mleta Uzi bavicha na wachangiaji bavicha
Hahha sawaMbowe anakubalika kuliko watesi wake. Vijana msiwe wajinga kiongozi inafaa apitie maisha yenu ajue mambo yenu kimsingi,haya sasa
Mbowe Vs Sa100
Mbowe - Mfanyabiashara maarufu
Sa100 - Mmasijala maarufu
Mbowe - Mkulima mzoefu
Sa100 - Mpishi mzoefu
Mbowe - Anazijua jelazetu
Sa100 - Anazijua ndege tuu
Mbowe - Baba kichwa chafamilia
Sa100 - Mke wanne wamtu
Mbowe - amehaso anazijua
shidazetu
Sa100 - kabebwa kisamama(magu
alisema)
Mbowe - Kaongoza chama
kikamilifu
Sa100 - chama hakieleweki
Mbowe - Anaitaka katiba bora
Sa100 - Alisimamia katiba iliyofeli
Mbowe - Mtanganyika toka uhuru
Sa100 - ........
TUACHE UZUZU TUSIMTESE MTU MUHIMU KWA TAIFA KISA CHUKI BINAFSI NA UROHO WAWATU WACHACHE WAMADARAKA.LINATOKA HADI LIJINGA TENA LICHAGA LINATOA USHAHIDI ILI AFUNGWE KWAJAMBO LAUONGO TENA CHINI YA KIAPO. VERY SILLY.
MBOWE AACHIWE HARAKA BILA MASHARTI YOYOTE.
#HAKI KWA MBOWE HAKI KWA WATZ
Kweli tupuMbowe ni Kama kombola la kivietnum
Wanapukutika taratibu , wote wataisha
wajinga kumbe wako wengi- mwaigo wa siku wanatarajia kupata nini?Haya yanayotokea Mahakamani ni Mpango wa Mungu mwenyewe kuwaumbua watawala wa Tanzania .
Haiwezekani Mtuhumiwa wa Ugaidi awe na wafuasi wengi kiasi hiki , hili ni fundisho kubwa sana .
View attachment 2022477
View attachment 2022458
Kwani kuna walimu na wanafunzi hapo! Wangekuwepo ndiyo ungeona lundo la watu.Haaahaaa!! Eti "Lundo la Watu".
Naangalia video nakuta watu watano
HakikaMh. Mbowe Mwenyezi Mungu mwingi wa rehema na akutie nguvu katika mambo mengi haya ya kutisha uyayoyapitia...Mipango ya Mwenyezi Mungu si sawa na ya wanadamu, yawezekana anakutumia wewe ili Taifa hili lipate ukombozi wa kweli.
Watanzania tuna imani kubwa mno na wewe.
Pole kijana mdogo wewe katika yooote akiliyako imefanikiwa kuona hapo tuu!!!Hapa ndio hua mnakosea, mbowe hampaswi kumhusisha sana na watu wa kabila lake
Yeye ni kiongozi wa kitaifa!
Labda kama mna maanisha Chadema = Wachaga
Hapo mtaeleweka
Lakini kuona ajabu mchaga kutoa ushahidi dhidi ya mbowe, ni jambo fikirishi kidogo.