Mbowe Hakwepeki, kila kiongozi anatamani kupata picha yake ya kumbukumbu

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,601
217,993
Kuna msemo wa Kiswahili unasema hivi, nanukuu, "Usishindane na aliyejaaliwa," mwisho wa kunukuu.

Freeman Mbowe ni mtu aliyejaaliwa karama ya kupendwa, hili wahafidhina mnatakiwa mlijue, mtake msitake! Watu wa namna hii hawatokei mara nyingi sana kwenye jamii, ni wachache sana, hata hivyo kupendwa kwa watu hawa hakuji kwa bahati mbaya, mara zote kunakuwa na mpango fulani wa Mungu juu ya maisha yao.

Uchunguzi wangu wa muda mrefu juu ya maisha ya Freeman umebaini kwamba, mtu huyu hajawahi kumchukia mtu yeyote yule (personally), anaweza kuichukia mifumo fulani au mambo fulani yanayotendwa na watu fulani lakini hakuwahi kuwachukia watu kama watu binafsi, ni nadra sana kupata mtu aliyejaa upendo wa kiasi hiki kwenye Taifa, na ikitokea inakuwa Baraka kubwa sana kwa Nchi.

Ndio maana popote anapokuwepo huyu jamaa watu hujaa, wa kumshangilia wanakuwa wengi kuliko wanaomzomea, iwe Mahakamani, Kanisani, kwenye Majukwaa ama kwingineko.

Mungu aendelee kumbariki tu, Amina.

FB_IMG_1680258242993.jpg
 
Kuna msemo wa Kiswahili unasema hivi , nanukuu , USISHINDANE NA ALIYEJAALIWA " mwisho wa kunukuu .

Freeman Mbowe ni mtu aliyejaaliwa karama ya Kupendwa , hili wahafidhina mnatakiwa mlijue , mtake msitake ! watu wa namna hii hawatokei mara nyingi sana kwenye jamii , ni wachache sana , hata hivyo kupendwa kwa watu hawa hakuji kwa Bahati Mbaya , mara zote kunakuwa na Mpango fulani wa Mungu juu ya Maisha yao .

Uchunguzi wangu wa muda mrefu juu ya maisha ya Freeman umebaini kwamba , mtu huyu hajawahi kumchukia mtu yeyote yule ( Personally ) , anaweza kuichukia mifumo fulani au mambo fulani yanayotendwa na watu fulani lakini hakuwahi kuwachukia watu kama watu binafsi , ni nadra sana kupata mtu aliyejaa upendo wa kiasi hiki kwenye Taifa , na ikitokea inakuwa Baraka kubwa sana kwa Nchi .

Ndio maana popote anapokuwepo huyu Jamaa watu hujaa , wa kumshangilia wanakuwa wengi kuliko wanaomzomea , iwe Mahakamani , kanisani , kwenye Majukwaa ama kwingineko .

Mungu aendelee kumbariki tu , Amina .

Anafanana na Mwl Nyerere katika Mengi.
 
Kuna msemo wa Kiswahili unasema hivi , nanukuu , USISHINDANE NA ALIYEJAALIWA " mwisho wa kunukuu .

Freeman Mbowe ni mtu aliyejaaliwa karama ya Kupendwa , hili wahafidhina mnatakiwa mlijue , mtake msitake ! watu wa namna hii hawatokei mara nyingi sana kwenye jamii , ni wachache sana , hata hivyo kupendwa kwa watu hawa hakuji kwa Bahati Mbaya , mara zote kunakuwa na Mpango fulani wa Mungu juu ya Maisha yao .

Uchunguzi wangu wa muda mrefu juu ya maisha ya Freeman umebaini kwamba , mtu huyu hajawahi kumchukia mtu yeyote yule ( Personally ) , anaweza kuichukia mifumo fulani au mambo fulani yanayotendwa na watu fulani lakini hakuwahi kuwachukia watu kama watu binafsi , ni nadra sana kupata mtu aliyejaa upendo wa kiasi hiki kwenye Taifa , na ikitokea inakuwa Baraka kubwa sana kwa Nchi .

Ndio maana popote anapokuwepo huyu Jamaa watu hujaa , wa kumshangilia wanakuwa wengi kuliko wanaomzomea , iwe Mahakamani , kanisani , kwenye Majukwaa ama kwingineko .

Mungu aendelee kumbariki tu , Amina .

hii ilikuwa wapi mwamba.
 
Kuna msemo wa Kiswahili unasema hivi , nanukuu , USISHINDANE NA ALIYEJAALIWA " mwisho wa kunukuu .

Freeman Mbowe ni mtu aliyejaaliwa karama ya Kupendwa , hili wahafidhina mnatakiwa mlijue , mtake msitake ! watu wa namna hii hawatokei mara nyingi sana kwenye jamii , ni wachache sana , hata hivyo kupendwa kwa watu hawa hakuji kwa Bahati Mbaya , mara zote kunakuwa na Mpango fulani wa Mungu juu ya Maisha yao .

Uchunguzi wangu wa muda mrefu juu ya maisha ya Freeman umebaini kwamba , mtu huyu hajawahi kumchukia mtu yeyote yule ( Personally ) , anaweza kuichukia mifumo fulani au mambo fulani yanayotendwa na watu fulani lakini hakuwahi kuwachukia watu kama watu binafsi , ni nadra sana kupata mtu aliyejaa upendo wa kiasi hiki kwenye Taifa , na ikitokea inakuwa Baraka kubwa sana kwa Nchi .

Ndio maana popote anapokuwepo huyu Jamaa watu hujaa , wa kumshangilia wanakuwa wengi kuliko wanaomzomea , iwe Mahakamani , kanisani , kwenye Majukwaa ama kwingineko .

Mungu aendelee kumbariki tu , Amina .


Hilo halikwepeki mwenyekiti wa CHADEMA Mh. Freeman Mbowe ni Godfather wa siasa za vyama vingi Tanzania pia serikali ya CCM inamtegemea godfather kupata misaada toka kwa wadau wa maendeleo wa nje, sifa ya utawala bora inategemea godfather awepo yaani listi ni ndefu mno kuhusu manufaa lukuki kuwa karibu na godfather wa siasa za vyama vingi
 
Kuna msemo wa Kiswahili unasema hivi, nanukuu, "Usishindane na aliyejaaliwa," mwisho wa kunukuu.

Freeman Mbowe ni mtu aliyejaaliwa karama ya kupendwa, hili wahafidhina mnatakiwa mlijue, mtake msitake! Watu wa namna hii hawatokei mara nyingi sana kwenye jamii, ni wachache sana, hata hivyo kupendwa kwa watu hawa hakuji kwa bahati mbaya, mara zote kunakuwa na mpango fulani wa Mungu juu ya maisha yao.

Uchunguzi wangu wa muda mrefu juu ya maisha ya Freeman umebaini kwamba, mtu huyu hajawahi kumchukia mtu yeyote yule (personally), anaweza kuichukia mifumo fulani au mambo fulani yanayotendwa na watu fulani lakini hakuwahi kuwachukia watu kama watu binafsi, ni nadra sana kupata mtu aliyejaa upendo wa kiasi hiki kwenye Taifa, na ikitokea inakuwa Baraka kubwa sana kwa Nchi.

Ndio maana popote anapokuwepo huyu jamaa watu hujaa, wa kumshangilia wanakuwa wengi kuliko wanaomzomea, iwe Mahakamani, Kanisani, kwenye Majukwaa ama kwingineko.

Mungu aendelee kumbariki tu, Amina.

Je inapunguza mfumuko wa bei????
 
Hilo halikwepeki mwenyekiti wa CHADEMA Mh. Freeman Mbowe ni Godfather wa siasa za vyama vingi Tanzania pia serikali ya CCM inamtegemea godfather kupata misaada toka kwa wadau wa maendeleo wa nje, sifa ya utawala bora inategemea godfather awepo yaani listi ni ndefu mno kuhusu manufaa lukuki kuwa karibu na godfather wa siasa za vyama vingi
Asante sana
 
Ona hata mkono wa jakaya unampoint mbowe ni Kama anasema mwamba huyu hapa
Kikwete alimlea sana Mbowe lakini Mbowe alimfanyia vituko Kikwete vya ajabu aliiumiza sana serikali ya Kikwete, Mbowe alihakikisha nchi haitawaliki kipindu cha Kikwete pamoja na roho nzuri ya Kikwete kuwakaribisha upinzani hadi ikulu na kunywa nao chai

Walileta migomo kibao yenye athari kubwa

CCM ikaona upole na wema wa Kikwete utaipeleka nchi pabaya watu kibao walikufa hospital kwa migomo ya madaktari iliyochochewa na Chadema na Mbowe wao

CCM ikaona ilete mtu katili atakayeshughulika nao anayejua dawa ya moto no moto Raisi Magufuli na alishughuloka nao barabara wameshika adabu zao sasa hapo akikutana na Kikwete Mbowe afanye vitu viwili cha kwanza atubu dhambi walizomfanyia Kikwete pili waape hawaji kurudia tena ushenzi waliomfanyia Kikwete Enzi zile .Kwa kilichowakuta kipindi cha Magufuli sidhani Mbowe na Chadema wana hamu tena na siasa zile za rafu walizomfanyia Kikwete

Sababu wakirudia CCM ina watu katili na jeuri kibao wanaoweza kuwamudu atakuja Magufuli mwingine awakomeshe
 
Kikwete alimlea sana Mbowe lakini Mbowe alimfanyia vituko Kikwete vya ajabu aliiumiza sans serikali ya Kikwete, Mbowe alihakikisha nchi haitawaliki kipindu cha Kikwete pamoja na roho nzuri ya Kikwete kuwakaribisha upinzani hadi ikulu na kunywa nao chai

Walileta migomo kibao yenye athari kubwa

CCM ikaona upole na weka wa Kikwete utaipeleka nchi pabaya watu kibao walikufa hospital kwa migomo ya madaktari iliyochochewa na Chadema na Mbowe wao

CCM ikaona ilete mtu katili atakayeshughulika nao anayejua dawa ya moto no moto Raisi Magufuli na alishughuloka nao barabara wameshika adabu zao sasa hapo akikutana na Kikwete Mbowe afanye vitu viwili cha kwanza atubu dhambi walizomfanyia Kikwete pili waape hawaji kurudia tena ushenzi waliomfanyia Kikwete Enzi zile .Kwa kilichowakuta kipindi cha Magufuli sidhani Mbowe na Chadema wana hamu tena na siasa zile za rafu walizomfanyia Kikwete

Sababu wakirudia CCM ina watu katili na jeuri kibao wanaoweza kuwamudu atakuja Magufuli mwingine awakomeshe

..Magufuli " aliwakomesha " wapinzani kwa kutumia vibaya vyombo vya dola na mahakama.

..Utaratibu huo sio mzuri kama sisi tunaamini kwamba ni wamoja.

..Kama ni "kukomeshana" baina ya vyama basi iwe kwa kushindanisha HOJA na SERA na sio chama kimoja kutumia mabavu dhidi ya vingine.
 
Kikwete alimlea sana Mbowe lakini Mbowe alimfanyia vituko Kikwete vya ajabu aliiumiza sana serikali ya Kikwete, Mbowe alihakikisha nchi haitawaliki kipindu cha Kikwete pamoja na roho nzuri ya Kikwete kuwakaribisha upinzani hadi ikulu na kunywa nao chai

Walileta migomo kibao yenye athari kubwa

CCM ikaona upole na wema wa Kikwete utaipeleka nchi pabaya watu kibao walikufa hospital kwa migomo ya madaktari iliyochochewa na Chadema na Mbowe wao

CCM ikaona ilete mtu katili atakayeshughulika nao anayejua dawa ya moto no moto Raisi Magufuli na alishughuloka nao barabara wameshika adabu zao sasa hapo akikutana na Kikwete Mbowe afanye vitu viwili cha kwanza atubu dhambi walizomfanyia Kikwete pili waape hawaji kurudia tena ushenzi waliomfanyia Kikwete Enzi zile .Kwa kilichowakuta kipindi cha Magufuli sidhani Mbowe na Chadema wana hamu tena na siasa zile za rafu walizomfanyia Kikwete

Sababu wakirudia CCM ina watu katili na jeuri kibao wanaoweza kuwamudu atakuja Magufuli mwingine awakomeshe
Acha uongo wewe , huyo Magufuli yuko wapi sasa ?

FB_IMG_1589397986327.jpg
 
Hilo halikwepeki mwenyekiti wa CHADEMA Mh. Freeman Mbowe ni Godfather wa siasa za vyama vingi Tanzania pia serikali ya CCM inamtegemea godfather kupata misaada toka kwa wadau wa maendeleo wa nje, sifa ya utawala bora inategemea godfather awepo yaani listi ni ndefu mno kuhusu manufaa lukuki kuwa karibu na godfather wa siasa za vyama vingi
Hoyo ndiyo picha anayoondoka nayo Kamala, na kuwaeleza wakubwa kuwa Tanzanua kumetulia, Samia amefuta siasa za uhasama. Rais Samia ameridhiana na aliyebambikiwa kesi ya ugaidi.
 
Back
Top Bottom