ROBERT MICHAEL
JF-Expert Member
- Oct 23, 2012
- 5,056
- 2,850
Watanzania ndio maana hatuna.maendeleo..badala ya kufanya kazi mijitu mizima na familia yao.imekalia umbea wa umri wa miss Tanzania..Hata kama ana miaka 100 inawahusu nini? Waliodhamini hayo mashindano wameridhika na mshindi wako kimya lakini vizabizabina ambao hawajatoa hata mia inatoka povu huku kila siku..Mwacheni binti wa watu apumzike
Umeshatuletea mihogo mjini.