Dada hapo bado prawns tuu
Naomba picha bibi... ninywee na majiNimeona mahindi ya njano, hapo mie ningeongeza nyanya, mayai ya kuchemsha yaliyokatwakatwa halafu parachichi na rangi kwa pembeni.
Kasinde.
Nasisitiza pichaNi salmon fish leo
Usisahau pichaNamimi ngoja niwaandalie pishi la Dagaa wa mwanza na ugali
Mmmh!! See mchoyo..gumiyummi
Daaah! Hivi Primo ni chakula pia mimi nilijua ni application ya android??mmm very nice,tambi ni chakula kizuri na unaweza changanya na chochote ,mie mpenzi mzuri wa primo!!
Kwa huu mchanganyiko hataitwa YUSUPHU kweli!?Nimeona mahindi ya njano, hapo mie ningeongeza nyanya, mayai ya kuchemsha yaliyokatwakatwa halafu parachichi na rangi kwa pembeni.
Kasinde.