Complex
JF-Expert Member
- Mar 20, 2013
- 4,121
- 4,788
Nokia inaonekana wanakuja kwa kasi na wanataka kuwin trust ya consumers kwa mara nyingine. Katika utumiaji wangu wa smartphone, nimekuwa muumini wa Androd platform kwa muda mrefu sana, na katika muda mrufu huu nimetokea kuichukia android kadri siku zinavyozidi kwenda. Sababu zinazonifanya niichukie.
1. Iko ina stuck bila sababu mara kwa mara.
2. Inaweza ikacrash ghafla na kupelekea ulichokuwa ukikifanya kupotea.
3. Simu zake nyingi ni majini ya chaji/simu za android nyingi inaonekana zina consume power kubwa sana.
Hivyo basi, nina mpango wa kushift kutoka android ( hususan Samsung, kwani muda wote huu nimekuwa nikitumia samsung kwa kiasi kikubwa ) . Wakati nikiwa na wazo hilo la kuhama, naona nokia kaja na vitu viwili ambavyo nahisi vitanifaa.
Moja alitangulia kuja na X series yenye custmized android platform ( Hapa niliipenda XL) , pia wakati sijakaa sawa nimepitia review mbalimbali net nikaona pia anategemea kurelease LUMIA 630 ambayo itakuwa na windows 8.1. Zote hizi naona kuna vitu zinazidiana, na ningependa pata review toka kwa Nokia/Windows O users
Sifa za simu niipendayo mimi ni hizi.
1. Dual sim ( zote zinayo )
2. Screen kubwa.
3. Price isiwe kubwa sana ( ~$ 170 hivi )
4. Iwe inakauwezo wa kukaa na chaji walau 14 hour, maana nimechoka kuwa natembea na chaji. ( Matumizi yangu ya simu kidogo yamechangamka )
5. Iwe tough, somehow resistant kwa viscratches vidogovidogo (samsung nyingi zimefail hapa ). I trust nokia katika hili as, huko nyuma alipata prove kwa simu zake za symbian.
6. Iwe ina perfomance nzuri with respect na unachokifanya, sio unafungua dial list simu inachukua sekunde 10 nzima mpaka unaletewa list. ( hili nimeliona katika simu nyingi zinazorun android.)
So ushauri, Ukosoaji n.k unakaribishwa.
CC : Chief-mkwawa, C6 ( mna michango iliyotukuka juu ya nokia hapa jamvini ). Na wale woote ambao manafahamu something katika hili, mnakaribishwa kutoa michango yenu ya mawazo.
1. Iko ina stuck bila sababu mara kwa mara.
2. Inaweza ikacrash ghafla na kupelekea ulichokuwa ukikifanya kupotea.
3. Simu zake nyingi ni majini ya chaji/simu za android nyingi inaonekana zina consume power kubwa sana.
Hivyo basi, nina mpango wa kushift kutoka android ( hususan Samsung, kwani muda wote huu nimekuwa nikitumia samsung kwa kiasi kikubwa ) . Wakati nikiwa na wazo hilo la kuhama, naona nokia kaja na vitu viwili ambavyo nahisi vitanifaa.
Moja alitangulia kuja na X series yenye custmized android platform ( Hapa niliipenda XL) , pia wakati sijakaa sawa nimepitia review mbalimbali net nikaona pia anategemea kurelease LUMIA 630 ambayo itakuwa na windows 8.1. Zote hizi naona kuna vitu zinazidiana, na ningependa pata review toka kwa Nokia/Windows O users
Sifa za simu niipendayo mimi ni hizi.
1. Dual sim ( zote zinayo )
2. Screen kubwa.
3. Price isiwe kubwa sana ( ~$ 170 hivi )
4. Iwe inakauwezo wa kukaa na chaji walau 14 hour, maana nimechoka kuwa natembea na chaji. ( Matumizi yangu ya simu kidogo yamechangamka )
5. Iwe tough, somehow resistant kwa viscratches vidogovidogo (samsung nyingi zimefail hapa ). I trust nokia katika hili as, huko nyuma alipata prove kwa simu zake za symbian.
6. Iwe ina perfomance nzuri with respect na unachokifanya, sio unafungua dial list simu inachukua sekunde 10 nzima mpaka unaletewa list. ( hili nimeliona katika simu nyingi zinazorun android.)
So ushauri, Ukosoaji n.k unakaribishwa.
CC : Chief-mkwawa, C6 ( mna michango iliyotukuka juu ya nokia hapa jamvini ). Na wale woote ambao manafahamu something katika hili, mnakaribishwa kutoa michango yenu ya mawazo.