akihojiwa na salama ndani eatv amesema hivyo wakuu hii inawezekana.
Haizekani kabisa isitoshe kale katoto bado hakajitambui hadhi yake na nafasi yake ktkt jamii.Kasubiri dunia ikape somo la maisha ambayo wazazi wake wameshindwa.
akihojiwa na salama ndani eatv amesema hivyo wakuu hii inawezekana.
Mwonekano wake ni jibu tosha
Jamani haka katoto c ndo kalikuwa kanasemezana na Salama kwenye Mkasi mpaka akadiriki kusema hakana mchumba,hakana boifrnd wala husband. Sasa Marehemu Kanumba alikuwa houseboy wake?au Ka-LuLu ndo kalikuwa ka-housegirl ka- Kanumba? Tunjifunza nini kutoka ktk hzi interview za media na hawa wanaojiita Masupastaa?Is there any need to have interview with them if they alwayz tell us lies?
Kachawi katoto haka haya amle nyama sasa.
Ndiye mwenyewe
kamenunua tiketi ya kupotelea segereaHuyo mtoto anhitaji councelling ya maana,otherwise katapotea vibaya kweny life.
Kwa mjibu wa pretty sintah blog, inaonekana Lulu anamajiraha mabaya kule oyster bay police station. If It was most likely she will be charged with manslaughter. Meaning, Hakuwa na niaa ya mauaji. Or she can plead self defence which is a complete defence na atoke scott free. If she didnt use any weapon and she just pushed him and injuries consistent with being beaten, self defence is possible. Dont be so quick to judge especially if it was a fight. Kumbukeni leo hii ingekuwa Kanumba ndani, na lulu kwenye mortuary. Jaamani kama penzi limewashinda achaneni.Kuna topic nimeitupia kwny jukwaa la sheria kule,is about sakata la LuLu na kifo cha Kanumba sheria inasemaje?Naomba mtazamo wenu kule.
Eti kana 18 jamani ukikaangalia Kama 50 hii fimbo inachakaza jamani
akihojiwa na salama ndani eatv amesema hivyo wakuu hii inawezekana.