bemg
JF-Expert Member
- Apr 25, 2010
- 2,799
- 642
MSANII machachari wa Filamu Bongo, Elizabeth Michael Lulu, juzikati alianika kuwa hatarajii kudanganyika kwa chochote mwezi huu hadi majira ya Kwaresma yatakapomalizika.
Akizungumza na paparazi wetu Februari 24, mwaka huu, Lulu alisema amejipangia kufunga Kwaresma mwanzo mwisho.
Lulu aliweka wazi kuwa mara nyingi katika majira haya hakuishi vishawishi vinavyomfanya mtu kuingia katika matendo ya dhambi.
Kwa kulitambua hilo amesema kuwa ameamua kutotoka out kwenda popote hadi Kwaresma itakapomalizika.
Nimeanza kufunga tangu Februari 22, mwaka huu, hivyo sitarajii kwenda sehemu za starehe hadi nimalize kipindi hiki cha Kwaresma.
Mwaka huu nina malengo mengi ninayohitajika kuyatimiza, hivyo lazima nimuombe sana Mungu,' alisema LULU
Posted by GLOBAL on February 29, 2012Lulu aliweka wazi kuwa mara nyingi katika majira haya hakuishi vishawishi vinavyomfanya mtu kuingia katika matendo ya dhambi.
Kwa kulitambua hilo amesema kuwa ameamua kutotoka out kwenda popote hadi Kwaresma itakapomalizika.
Nimeanza kufunga tangu Februari 22, mwaka huu, hivyo sitarajii kwenda sehemu za starehe hadi nimalize kipindi hiki cha Kwaresma.
Mwaka huu nina malengo mengi ninayohitajika kuyatimiza, hivyo lazima nimuombe sana Mungu,' alisema LULU