Ona anavyopendeza kwa kuvaa nguo za heshima!!! angekuwa hivi kweli mabazazi si wangempitia mbali..... too late !!
Huyu POLISI dume naye bana..... Kikwapa hicho bana.
Joto la Dar, pata mavitu hata ya bei nafuu kukausha KIKWAPA, heee...... Nyani Ngambu unakiona lakini
Naona nguo ndefu hazimuashi leo, she still a baby. I just pity her
Mtoto mzuri, nguo zimempa heshima, amepungua umbo , lakini tumbo................