semba masondole
New Member
- Oct 5, 2012
- 4
- 0
nilisikia kuwa lulu cheti chake cha kuzaliwa kilikuwa na liminesheni kutokana na sheri ya ushahidi ya mwaka 1963 iliyo fanywa marekebisho mwaka 2001 kutotambua ushaidi uliyo pitishwa kwenye mashine!imeka aje hiyo!