Faida zipo, vinginevyo watu wasingeuza.. Nenda TANESCO kwa maelekezo, maswali yote yatapata majibu.hebu wenye ufahamu mzuri juu wa wanaouza umeme wa luku na faida zake.........nataka niombe usajiri na procedure mpaka za kupata uwakala.
nazan umempa jibu stahikiMwandishi anajua kuwa majibu yapo TANESCO lakini nadhani amelileta hapa kwa kuamini kuwa magreat thinkers wanaweza kumpatia msaada hata kabla ya kwenda huko TANESCO. Ndo maana mtu unakuta analeta maada ya ugonjwa na watu wanamsaidia kama ni hivo si wangemuambia aende hospitali. Kwa hiyo watu huleta mada hapa kwa sababu wanajua watapata majibu ya uhakika na ya haraka kuliko kufunga safari na kwenda sehemu husika