Lukamba amlilia Polepole, ataka aachiwe huru

Lukamba amlilia Polepole, ataka aachiwe huru

Kiki tu kama wengine sababu hana impact yoyote anatembea na upepo pakutokea. njaa mbaya
 
Lukamba anatumia upepo kutrending hamaanishi hiko anachozungumza muda si mrefu utaona atatoa wimbo
Ilo lina ubaya gani kama imeongeza namba ya awareness kwa followers wake uko IG?
 
Ukikaa kimya wakati uovu unatokea basi na wewe unakuwa una support huo uovu ,kwa sirikali hii ya mafashisti(manduli) kuongea hivyo hadharani ni kuiweka roho yako rehani.

Kama Chaula ameuliwa kwa kuchoma tu mchoro wenye picha ya "BINTI CHURA WA SAMAWATI" vipi kama ukipiga kwenye MSHONO?

Kama ni mkosoaji wa sirikali inabidi uishi kimafia kama ZAKARIA ,wakija bila GUARD unawamwagia "NJUGU" bila idadi.
 
Kiki tu kama wengine sababu hana impact yoyote anatembea na upepo pakutokea. njaa mbaya
Hao unaoona wana impact wamekaa kimya wanajificha kwenye makundi ya WhatsApp au hapa JF. Hawana uthubutu wa Lukamba.

Kama atapata kiki masuala muhimu ni jambo zuri kuliko kupata kiki za kuvaa shanga kama wewe.
 
Hao unaoona wana impact wamekaa kimya wanajificha kwenye makundi ya WhatsApp au hapa JF. Hawana uthubutu wa Lukamba.

Kama atapata kiki masuala muhimu ni jambo zuri kuliko kupata kiki za kuvaa shanga kama wewe.
Yaani mmefikia level ya kumtegemea Lukamba? ndio mnataka nchi.... pumbavuuuuuuu
 
Hao unaoona wana impact wamekaa kimya wanajificha kwenye makundi ya WhatsApp au hapa JF. Hawana uthubutu wa Lukamba.

Kama atapata kiki masuala muhimu ni jambo zuri kuliko kupata kiki za kuvaa shanga kama wewe.
Kama anania ya kweli angeamasisha watu waingie mtaani wadai Polepole maana Kama kupostiwa wengi wamepost, yeye anafanya Nini cha tofauti
 
Ukikaa kimya wakati uovu unatokea basi na wewe unakuwa una support huo uovu ,kwa sirikali hii ya mafashisti(manduli) kuongea hivyo hadharani ni kuiweka roho yako rehani.

Kama Chaula ameuliwa kwa kuchoma tu mchoro wenye picha ya "BINTI CHURA WA SAMAWATI" vipi kama ukipiga kwenye MSHONO?

Kama ni mkosoaji wa sirikali inabidi uishi kimafia kama ZAKARIA ,wakija bila GUARD unawamwagia "NJUGU" bila idadi.
Yeye na Wewe wote ni wanafiki keyboard warrior na huyo kafanya hivyo ni kwasababu anataka kuachia wimbo ili uende mjini kwa haraka apate maslahi yake binafsi
 
Yaani mmefikia level ya kumtegemea Lukamba? ndio mnataka nchi.... pumbavuuuuuuu
Lukamba ni mtanzania ambae ameona kuna haja ya kukemea utekaji. Kwenye hii movement kila mtanzania ni muhimu. Sijaelewa kwa nini hii inakuumiza?
Hao unaoamini ni watu wa maana utokaa uone wamefungua midomo yao.
 
Kama anania ya kweli angeamasisha watu waingie mtaani wadai Polepole maana Kama kupostiwa wengi wamepost, yeye anafanya Nini cha tofauti
Yani wewe ni katoto kweli kweli 😂😂😂
 
Watu wa aina hiyo wanakuwaga wanafiki tu hawanaga impact yoyote hapo anataka kucheza na akili za washabiki wake baada ya kuona wakina Diamond wamepata mashambulizi kwenye social media so anajisafisha kimtindo
Wewe ndiyo mnafiki.
Angekaa kimya ungemlaumu kwa ukimya, ameongea unamlaumu.
FYI, hii siyo mara yake ya kwanza kukemea haya.
Alianza mapema kabla mpambanaji amteteaye hajatekwa.

Ukitaka kujua unafiki wako hapa unatumia utambulisho wa kificho na bandia. Yeye anatumia utambulisho wake halisi ambapo watekaji wanaweza kumdhuru.
Weka jina lako halisi hapa na account zingine za mitandao ya kijamii kwa majina yako halisi ukosoe au uunge mkono wakandamizaji wa haki.
 
Lukamba ni mtanzania ambae ameona kuna haja ya kukemea utekaji. Kwenye hii movement kila mtanzania ni muhimu. Sijaelewa kwa nini hii inakuumiza?
Hao unaoamini ni watu wa maana utokaa uone wamefungua midomo yao.
Hakuna mtu wa maana unajishusha sana kutoa kauli hizi za kijinga, Chadema kama wanataka kupigania haki wapiganie kama chama usitegemee Lukamba sijui huu ni upumbavu. Shida kubwa ya Chadema kurukia agenda hawana mikakati ya wazi.
 
Hakuna mtu wa maana unajishusha sana kutoa kauli hizi za kijinga, Chadema kama wanataka kupigania haki wapiganie kama chama usitegemee Lukamba sijui huu ni upumbavu. Shida kubwa ya Chadema kurukia agenda hawana mikakati ya wazi.
Ishu hapa ni Lukamba na Polepole, wewe unaleta habari za CHADEMA.

Una ubongo wa mende mkuu.
 
Back
Top Bottom