Lukamba amlilia Polepole, ataka aachiwe huru

Lukamba amlilia Polepole, ataka aachiwe huru

sinza pazuri

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2014
Posts
3,679
Reaction score
9,839
IMG_20251008_194700.jpg

Mpiga picha namba moja wa wasanii nchini Tanzania ambae pia ana ushawishi mkubwa sana Instagram, Ashraf Lukamba ametuma ujumbe wa kumlilia Polepole.

Lukamba mwenye followers zaidi ya million, ilimchukua masaa machache ujumbe wake kusomwa na watu zaidi ya laki 6 ambao walionesha kuhuzunishwa na utekaji unaofanywa na serikali ya Samia.

Ukatili na utekaji wa watu wasio na hatia umeendelea kuwa ndio kitu pekee serikali ya Samia wanafanya kwa ustadi mkubwa.
 
View attachment 3485693
Mpiga picha namba moja wa wasanii nchini Tanzania ambae pia ana ushawishi mkubwa sana Instagram, Ashraf Lukamba ametuma ujumbe wa kumlilia Polepole.

Lukamba mwenye followers zaidi ya million, ilimchukua masaa machache ujumbe wake kusomwa na watu zaidi ya laki 6 ambao walionesha kuhuzunishwa na utekaji unaofanywa na serikali ya Samia.

Ukatili na utekaji wa watu wasio na hatia umeendelea kuwa ndio kitu pekee serikali ya Samia wanafanya kwa ustadi mkubwa.
Ajilikie mwenyewe kama hana wa kulilia
 
Watu wa aina hiyo wanakuwaga wanafiki tu hawanaga impact yoyote hapo anataka kucheza na akili za washabiki wake baada ya kuona wakina Diamond wamepata mashambulizi kwenye social media so anajisafisha kimtindo
Wewe umefanya nini zaidi ya ku point fingers?
 
View attachment 3485693
Mpiga picha namba moja wa wasanii nchini Tanzania ambae pia ana ushawishi mkubwa sana Instagram, Ashraf Lukamba ametuma ujumbe wa kumlilia Polepole.

Lukamba mwenye followers zaidi ya million, ilimchukua masaa machache ujumbe wake kusomwa na watu zaidi ya laki 6 ambao walionesha kuhuzunishwa na utekaji unaofanywa na serikali ya Samia.

Ukatili na utekaji wa watu wasio na hatia umeendelea kuwa ndio kitu pekee serikali ya Samia wanafanya kwa ustadi mkubwa.
Abarikiwe sana Lukamba
 
Watanzania wanamuonea huruma huyu msenge, ni nani aliyewaroga?

 
Watu wa aina hiyo wanakuwaga wanafiki tu hawanaga impact yoyote hapo anataka kucheza na akili za washabiki wake baada ya kuona wakina Diamond wamepata mashambulizi kwenye social media so anajisafisha kimtindo
Wewe ambae sio mnafiki kuna popote umekemea kwa kutumia original id yako?
 
Back
Top Bottom