Luis Miquissone kutambulishwa Yanga kama mchezaji wao mpya

Habari kutoka chanzo cha ndani GSM ni muda wowote kuanzia kesho Luis Miquissone atatambulishwa kama mchezaji mpya wa kigeni kwa klabu ya Yanga.

NB:
Yanga wanafanya mambo kwa pupa na itawatokea puani!
Nimemuona leo kempinski
 
Back
Top Bottom