Luhwavi, Membe na Lukuvi, mnayopanga Gizani ili Magufuli asiwe Mwenyekiti wa CCM yawekwa Hadharani

Kila kitu kinawezekana. Usikimbilie kukanusha

Go, go, go and edit ur post, muondoe Mh. Lukuvi.. sbb ni uongo mkubwa huo..!! Huyu Waziri Lukuvi amefanya makubwa mno, kila mtanzania anamkubali.. ww unaanza kumchafua..

If you don't nitafanya vita vikubwa hapa na ww and you will lose all ur credibility and false reputation uliyojijengea hapa JF..!!

Do that plse.. i will engage in harsh threads to counteract all these concerning Mh. Lukuvi..

Do that plse
 
Unafaa kupuuzwa manake itakuchukua muda sana kubaini tofauti kubwa kati yangu na yako na wala haielekei kwamba unazifahamu siasa zenyewe za Lindi! Utaishia kuandika ma-post mareeeeeeefu tu yasiyo na kichwa wala miguu manake kelele unazopiga wala hazina msingi; you're just PARANOID!!!!!

Narudia; wewe endelea tu kukesha JF na kutapata kwa vitu ambavyo havipo lakini watu wanaelekea Dom kula bata!
Naona sasa umeamua kukaa chini baada ya kukupa ukweli wa siasa za Lindi. Nakuambia wewe si size yangu na usithubutu kunichokoza. Hapo nimekumegea kidogo tu umekuwa mpole kama kifaranga kilichomwagiwa maji. Lazima tuheshimiane
 
Sina lingine zaidi ya kukupa pole manake wakati wewe unashinda hapa ukijifanya ndo una uchungu sana na CCM na JPM na hivyo una wajibu wa kutetea kwa kila kitu, binafsi siwezi kushinda hapa kumtetea yeyote wala chama chochote! Nilichokuambia ni facts na ndio maana nikaanza kukuumbua kwa hiyo taarifa ya Membe kutogmbea ubunge ambayo unadanganya watu kwamba eti aishauriwa wakati habari za Membe kutogmbea zilikuwa open kwa kila anayefuatilia siasa za nchi hii!

Ni makelele yasiyo na maana yoyote kila wakati kulia lia kwamba JPM anataka kuhujumiwa wakati hamna kitu kama hicho! Lililo wazi ni kwamba JPM ana mahasimu wengi na hakuna kitu ambacho wangependa kukiona kama kumuona akishindwa vibaya sana kwenye uongozi wa chama! Hawezi kushindwa bila kupewa uenyekiti!!

Hili halihitaji kwenda shule kulifahamu kwahiyo wewe endelea kukesha huku ukiendelea kuwasubiri hao unaowaita wengine wakati wenzako tunakula bia huku!!!
Mkuu unampiga za mbavu hujibu hata moja hizo fact big up kulA na like
 
Go, go, go and edit ur post, muondoe Mh. Lukuvi.. sbb ni uongo mkubwa huo..!! Huyu Waziri Lukuvi amefanya makubwa mno, kila mtanzania anamkubali.. ww unaanza kumchafua..

If you don't nitafanya vita vikubwa hapa na ww and you will lose all ur credibility and false reputation uliyojijengea hapa JF..!!

Do that plse.. i will engage in harsh threads to counteract all these concerning Mh. Lukuvi..

Do that plse
Kufanya kwake makubwa wizara ya Ardhi haimaanishi kuwa hashiriki siasa za CCM. Ndani ya CCM kuna watu mchana wanafanya haya na usiku wanafanya yale. Magufuli akikabidhiwa chama hakika mtashunudia mambo ya ajabu sana. Msiowaamini mtashuhudia wakitumbuliwa
 
Kwa Membe sijui lakini kwa mantiki hii basi kama kuna ukweli ina maana uwaziri wa Lukuvi uko hatarinini. Nasubiri
 
Huyu dogo kaishiwa pumzi ata katiba ya nchi haijui ,ili uteuliwe kuwa waziri mkuu ni lazima uwe mbunge sasa analeta porojo zake hapa.
 
Unawaza kitu ambacho hakitatokea. Kikwete alikabidhiwa chama mwaka 2006 ilhali mkutano ulifanyika 2007. Unashangaa nini kwa Magufuli kukabidhiwa chama 2016? Tatizo lenu hamna kumbukumbu hata kidogo
Naona ushaanza kuchanganyikiwa sasa! Jamaa kauliza ikiwa ni LAZIMA Rais kuwa Mwenyekiti wa chama; nami nikajibu:
Of course, LAZIMA ni hadi katiba itamke hivyo na hapo hapatakuwa na option! Lakini endapo wataona kutokana na mazingira fulani fulani basi Rais "huyu" asipewe uongozi wa chama; hususani huku kukabidhiwa kwa kabla ya wakati, kutokana na sababu wanazoziona basi chama hatapewa kv katiba hailazimishi kufanya hivyo! Na Kutokana na ukweli huo, ndo huku kulia lia kwa kila wakati kwa akina Lizaboni
Matokeo yake unadai:
Unawaza kitu ambacho hakitatokea. Kikwete alikabidhiwa chama mwaka 2006 ilhali mkutano ulifanyika 2007. Unashangaa nini kwa Magufuli kukabidhiwa chama 2016? Tatizo lenu hamna kumbukumbu hata kidogo
Wapi nimeshangaa JPM kukabidhiwa chama 2016? Au kv nimesema
Lakini endapo wataona kutokana na mazingira fulani fulani basi Rais "huyu" asipewe uongozi wa chama.....
Unadhani huyo niliyesema Rais "huyu" namaanisha JPM? Hushangai nimewekea kifunga na kifungua semi? Ndo maana nikasema you're too paranoid; kimsingi una gubu la kisiasa!
 
Aiyo anautaka bali anastahili. Maadam ameshinda Urais kwa njia ya halali iweje asiwe Mwenyekiti wa CCM?

kama alishinda kwa kushindana na makada wenzake sasa mbona saiz anatumia nguvu nyingi hiv kuwachafua ili yeye tu ndo athibitishwe?! awaache washindane, wa ndio wapige kampeni na wa hapana nao wapige kampeni kwa uhuru, sio mtu akionakana ni wa hapana anaanza kumchafua mtandaoni.
 
Ubora na ukweli alikuwa nao UTAKI UNAACHA sijui kapotelea wapi tokea miaka ile na mengi aliyoyasema mpka leo ndio yanatokea.
 
Naona ushaanza kuchanganyikiwa sasa! Jamaa kauliza ikiwa ni LAZIMA Rais kuwa Mwenyekiti wa chama; nami nikajibu: Matokeo yake unadai: Wapi nimeshangaa JPM kukabidhiwa chama 2016? Au kv nimesema Unadhani huyo niliyesema Rais "huyu" namaanisha JPM? Hushangai nimewekea kifunga na kifungua semi? Ndo maana nikasema you're too paranoid; kimsingi una gubu la kisiasa!
Kwani tuna marais wangapi ambao wanataka kupewa chama kama si JPM?
 
kama alishinda kwa kushindana na makada wenzake sasa mbona saiz anatumia nguvu nyingi hiv kuwachafua ili yeye tu ndo athibitishwe?! awaache washindane, wa ndio wapige kampeni na wa hapana nao wapige kampeni kwa uhuru, sio mtu akionakana ni wa hapana anaanza kumchafua mtandaoni.
Walioshindwa hawataki kuamini kuwa wameshindwa. Kuna watu wanajiona kuwa wana hati miliki ndani ya ccm
 
Naona sasa umeamua kukaa chini baada ya kukupa ukweli wa siasa za Lindi. Nakuambia wewe si size yangu na usithubutu kunichokoza. Hapo nimekumegea kidogo tu umekuwa mpole kama kifaranga kilichomwagiwa maji. Lazima tuheshimiane
Bora umejigundua kwamba sio size yangu manake siwezi kuwa na muda mchafu kama ulionao wewe wa kushinda JF kila siku kupiga porojo! Halafu acha kutisha watu wewe; mtu aliye ndani ya circle hawezi kushinda kwenye social networks kutetea chama! Hiyo kazi wanapewa wabeba mikoba! Wenye chama chao wanatengeneza habari kisha mnapewa watu wa kariba yako ili mje ku-shout kwenye social networks! Kuhusu siasa za Lindi hakuna ukweli ulionipa na sio kwamba sikuwa na jibu kiroja chako kuhusu siasa za Lindi bali sikuona sababu ya kujibu unnecessary shouting!
 
Lizaboni unajiamini sana. Ukiona panya anamchokoza paka,shimo liko nyuma yake. Hayo uliyopost yalishasemwa na mzee wa Kanisa la Ufufuo,Baba Askofu Gwajima,akaishia kutafutwa na wazee wa kazi/kuhojiwa,walikesha kwenye makazi yake,wewe unajiamini nini? Membe ni kachero mwandamizi, hiyo shughuli hakuna kustaafu. Nasubiri miezi 3 kama ID hii Lizaboni itakuwepo.
 
Bora umejigundua kwamba sio size yangu manake siwezi kuwa na muda mchafu kama ulionao wewe wa kushinda JF kila siku kupiga porojo! Halafu acha kutisha watu wewe; mtu aliye ndani ya circle hawezi kushinda kwenye social networks kutetea chama! Hiyo kazi wanapewa wabeba mikoba! Wenye chama chao wanatengeneza habari kisha mnapewa watu wa kariba yako ili mje ku-shout kwenye social networks! Kuhusu siasa za Lindi hakuna ukweli ulionipa na sio kwamba sikuwa na jibu kiroja chako kuhusu siasa za Lindi bali sikuona sababu ya kujibu unnecessary shouting!
Sindano imekuingia. Hiyo ndio tiba yako
 
Back
Top Bottom