Lizaboni
JF-Expert Member
- Feb 21, 2013
- 33,894
- 20,372
- Thread starter
- #361
Dah! Humjui Lizaboni weweLizaboni unajiamini sana. Ukiona panya anamchokoza paka,shimo liko nyuma yake. Hayo uliyopost yalishasemwa na mzee wa Kanisa la Ufufuo,Baba Askofu Gwajima,akaishia kutafutwa na wazee wa kazi/kuhojiwa,walikesha kwenye makazi yake,wewe unajiamini nini? Membe ni kachero mwandamizi, hiyo shughuli hakuna kustaafu. Nasubiri miezi 3 kama ID hii Lizaboni itakuwepo.