Kachanchabuseta
JF-Expert Member
- Mar 8, 2010
- 7,269
- 675
Kwa hilli Luhanjo ametukatisha tamaa, inauma inauma inauma saana kwamba
hakuna mawasiliano kati ya Rais wetu mpendwa na Luhanjo, Haiwezekani jana mtu
anaingia ofisini (Jairo) na leo anatolewa. Hii inaonesha kuwa serikali yetu haifanyi kazi
Rais wetu tunakuamini hawa wasadizi wako wanakushushia hadhi ona sasa watanzania
wanaanza kukudharau, kama utachukua uamuzi wa busara na makini FUKUZA hawa wazee
ofisini kwako ikiwemo ngereja na Ludovic
Je Luhanjo atatoa Press Release leo kutengua maamuzi yake?
KUSEMA KWELI KWA HILI MMETUVUNJA MOYO
hakuna mawasiliano kati ya Rais wetu mpendwa na Luhanjo, Haiwezekani jana mtu
anaingia ofisini (Jairo) na leo anatolewa. Hii inaonesha kuwa serikali yetu haifanyi kazi
Rais wetu tunakuamini hawa wasadizi wako wanakushushia hadhi ona sasa watanzania
wanaanza kukudharau, kama utachukua uamuzi wa busara na makini FUKUZA hawa wazee
ofisini kwako ikiwemo ngereja na Ludovic
Je Luhanjo atatoa Press Release leo kutengua maamuzi yake?
KUSEMA KWELI KWA HILI MMETUVUNJA MOYO