Luhaga Mpina: Mkataba wa SGR bei halisi imezidishwa kwa Tsh. Trilioni 3.4

Luhaga Mpina: Mkataba wa SGR bei halisi imezidishwa kwa Tsh. Trilioni 3.4

 
hapo akiambiwa lete evidence utacheka hadi kumuonea huruma,

utaskia nimepata ushahidi kutoka kwenye blog ya fulani 🤣
Kwani ushahidi una ugumu gani kuupata, ataleta Quotation zake toka kwa Supplier/Contractor but also in comparision to other similar Projects around EAC, which are under similar Geographical landscape. Utakuta Costs za kwetu zimezidishwa mar dufu ili wahusika wapate cha "Kwao"
 
Kwani ushahidi una ugumu gani kuupata, ataleta Quotation zake toka kwa Supplier/Contractor but also in comparision to other similar Projects around EAC, which are under similar Geographical landscape. Utakuta Costs za kwetu zimezidishwa mar dufu ili wahusika wapate cha "Kwao"
Huyo Mamluki anasapoti chochote cha Mama, huwa haelewi chochote, ni zaidi ya mbumbumbu
 
UWT nyie ni kukata viuno kwenye majukwaa hizi mambo ni ngumu kuelewa
SURATI ZUBAA  Ndio surati zubaa, pengine tumesomewa, Sivyo tusingebung'a...jpg
 
Mpina aling'ara kwakuwa nyuma yake alikuwepo JPM, mawaziri wa AWAMU ya tano ambao walionekana kuwa na uwezo mkubwa ki-utendaji, ukiwaleta sasa hivi ni wachovu!
 
Back
Top Bottom