rosemarie
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 6,887
- 3,412
Hivi huyu waziri katika utendaji kazi anajua Magufuli anafuatilia???
huyu waziri analeta mambo ya mizaha,Msigwa aliposema huyu ni mtu anapenda mizaha na utani hakukosea,tumejionea wenyewe vituko anavyofanya
tuorodheshe mizaha na utani wa huyu waziri
mbwa aletwe ndani ya masaa kumi na mbili,,,jana tumejionea kale kajibwa sijui kametolewa wapi
Lugumi aje ofisini kwangu???kufanya nini mbona kuna vyombo vya sheria????
anayesambaza picha za yule mkuu wa wilaya akamatwe???mbona yeye mwenye picha hakamatwi na alisambaza mwenyewe???
kutumbuliwa hakuepukiki hii wizara inaitaji watu smart na waliotulia kama Lukuvi
huyu waziri analeta mambo ya mizaha,Msigwa aliposema huyu ni mtu anapenda mizaha na utani hakukosea,tumejionea wenyewe vituko anavyofanya
tuorodheshe mizaha na utani wa huyu waziri
mbwa aletwe ndani ya masaa kumi na mbili,,,jana tumejionea kale kajibwa sijui kametolewa wapi
Lugumi aje ofisini kwangu???kufanya nini mbona kuna vyombo vya sheria????
anayesambaza picha za yule mkuu wa wilaya akamatwe???mbona yeye mwenye picha hakamatwi na alisambaza mwenyewe???
kutumbuliwa hakuepukiki hii wizara inaitaji watu smart na waliotulia kama Lukuvi