Lugola akalia kuti kavu ndani ya CCM

Lugola akalia kuti kavu ndani ya CCM

huyu si alishawahi tena kufikishwa mahakamani akituhumiwa kuomba Kwa rushwa akiwa katika kamati ya Bunge .... kuna jipya kweli humu ccm
 
Wanatafuta tu kuonekana wanafanya kazi hao...
 
Pumu ilishapata mkohozi, kama kawaida ndani ya chama twawala!
ANGALIZO: Zingatieni afya ya mlengwa, vinginevyo mtaongeza Kolimba mwingine!
 
Polisi waliotupiga tochi mnamuandamana sana huyu jamaa aliwazuia matochi yasiyoeleweka...nadhani hasa kumuandamana hakusaidii wala hakuwaondolei ukweli kwamba baadhi sio waungwana..
 
Chama cha Mapinduzi (CCM) mkoa wa Mara kimesema kinaandaa utaratibu wa kumuita katika vikao na kumhoji aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani Kangi Lugola ili awaeleze sababu zilizopelekea kuaibisha mkoa huo na Rais John Magufuli ambaye alimuamini na kumpatia nafasi ya uwaziri ili atumikie Taifa.

Hayo yamebainishwa jana na Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Mara, Samuel Kiboye wakati akieleza namna ambavyo chama hicho kinakasirishwa na viongozi wanaopewa nafasi ya kumsaidia Rais katika wizara mbalimbali lakini mwisho wa siku wanaliingiza Taifa katika mikataba mibovu.

Ama kweli usitukane mamba kabla hujavuka mto.

View attachment 1339630

Sent using Jamii Forums mobile app
Kimenuka !
 
Wahuni na wezi wa fedha zetu mmekutana siyo?
Chama cha Mapinduzi (CCM) mkoa wa Mara kimesema kinaandaa utaratibu wa kumuita katika vikao na kumhoji aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani Kangi Lugola ili awaeleze sababu zilizopelekea kuaibisha mkoa huo na Rais John Magufuli ambaye alimuamini na kumpatia nafasi ya uwaziri ili atumikie Taifa.

Hayo yamebainishwa jana na Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Mara, Samuel Kiboye wakati akieleza namna ambavyo chama hicho kinakasirishwa na viongozi wanaopewa nafasi ya kumsaidia Rais katika wizara mbalimbali lakini mwisho wa siku wanaliingiza Taifa katika mikataba mibovu.

Ama kweli usitukane mamba kabla hujavuka mto.

View attachment 1339630

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Chama cha Mapinduzi (CCM) mkoa wa Mara kimesema kinaandaa utaratibu wa kumuita katika vikao na kumhoji aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani Kangi Lugola ili awaeleze sababu zilizopelekea kuaibisha mkoa huo na Rais John Magufuli ambaye alimuamini na kumpatia nafasi ya uwaziri ili atumikie Taifa.

Hayo yamebainishwa jana na Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Mara, Samuel Kiboye wakati akieleza namna ambavyo chama hicho kinakasirishwa na viongozi wanaopewa nafasi ya kumsaidia Rais katika wizara mbalimbali lakini mwisho wa siku wanaliingiza Taifa katika mikataba mibovu.

Ama kweli usitukane mamba kabla hujavuka mto.

View attachment 1339630

Sent using Jamii Forums mobile app
Wanamuitaje wakati tayari Lugola amewekwa chini ya ulinzi?
 
wizi na ufisadi ilikua sera yao sema tu Mzee Magufuli anataka kuwabadilisha ingawa ana kazi kubwa sana kwani ulikua ni utamaduni wao wa siku nyingi
 
Back
Top Bottom