babalao 2
JF-Expert Member
- Apr 6, 2012
- 5,426
- 3,308
Wanamuitaje wakati tayari Lugola amewekwa chini ya ulinzi?
Watu wa Mwibara wanajua kuwa 2021 Musiba makazi yake ya kudumu yatakuwa Ukonga, Maweni na Butimba?
Kwa hili la LUGOLA nimeamini wanaosema wewe ni fuata upepo.Mmawia,
Chadema mkoa wa Mara watapinga!
Huyu akili zake zinategemea mwandamo wa mwezi.Sasa hivi nimetoka kukusifia wamekutoa Tena akili?, wewe sio ridhiki
Hugo mwenyekiti was CCM aache maigizo. Asubiri vyombo vya dola vifanye kazi yake.
Hugo mwenyekiti was CCM aache maigizo. Asubiri vyombo vya dola vifanye kazi yake.
Ama kweli ccm mazimwi matupu! Suala la lugola linaihusuje ccm mkoa? Huu ni msimu wa kilimo mwambie mwenyekiti wenu aende shambani aache kutegea kwa kujificha nyuma ya lugola! Mara takukuru na Sasa ccm. Kwani mlikuwa wapi kabla ninyi watu? Au mpaka boss wenu anene ndio mfanyekazi?Mmawia,
Chadema mkoa wa Mara watapinga!
Watu wa Mwibara wanajua kuwa 2021 Musiba makazi yake ya kudumu yatakuwa Ukonga, Maweni na Butimba?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanini ccm kumejaa wezi na Mafisadi?Mmawia,
Chadema mkoa wa Mara watapinga!
Bila shaka atawajibu kwa kutumia vifungu vya ilani ya uchaguzi. Hajui tofauti kati ya ilani na katiba/sheria za nchi na alikuwa waziri wa mambo ya ndani.Chama cha Mapinduzi (CCM) mkoa wa Mara kimesema kinaandaa utaratibu wa kumuita katika vikao na kumhoji aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani Kangi Lugola ili awaeleze sababu zilizopelekea kuaibisha mkoa huo na Rais John Magufuli ambaye alimuamini na kumpatia nafasi ya uwaziri ili atumikie Taifa.
Hayo yamebainishwa jana na Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Mara, Samuel Kiboye wakati akieleza namna ambavyo chama hicho kinakasirishwa na viongozi wanaopewa nafasi ya kumsaidia Rais katika wizara mbalimbali lakini mwisho wa siku wanaliingiza Taifa katika mikataba mibovu.
Ama kweli usitukane mamba kabla hujavuka mto.
View attachment 1339630
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimesema hapa Chadema mtapinga!Ama kweli ccm mazimwi matupu! Suala la lugola linaihusuje ccm mkoa? Huu ni msimu wa kilimo mwambie mwenyekiti wenu aende shambani aache kutegea kwa kujificha nyuma ya lugola! Mara takukuru na Sasa ccm. Kwani mlikuwa wapi kabla ninyi watu? Au mpaka boss wenu anene ndio mfanyekazi?
Cha kupingwa na cdm chama janja hapo ni kipi? Acheni kutafuta Kiki na badala yake tafuteni mbinu za kuwakwamua hao wanyonge wenu unyongeni!Nimesema hapa Chadema mtapinga!