Hapo Chadema wapi na wapi?? Waache wafu wawazeke wafu wao.Mmawia,
Chadema mkoa wa Mara watapinga!
[emoji56][emoji125]Pumu ilishapata mkohozi, kama kawaida ndani ya chama twawala!
ANGALIZO: Zingatieni afya ya mlengwa, vinginevyo mtaongeza Kolimba mwingine!
Bila shaka atawajibu kwa kutumia vifungu vya ilani ya uchaguzi. Hajui tofauti kati ya ilani na katiba/sheria za nchi na alikuwa waziri wa mambo ya ndani.
Wakimhoji watakuwa wamesaidia kitu gani? kama ni nafasi tayari alishaondoka kwa hiyo hata wakimuita hawatapata jawabu, zaidi wanaweza kuishia kutukanana na kuaibishana wao kwa wao, lakini pia utaratibu wa kuitana kupitia kamati za ccm mkoa umeanza lini. Je katiba ya chama inawapatia hauo mamlaka ya kufanya hivyo au mi hisia za watu wachacheChama cha Mapinduzi (CCM) mkoa wa Mara kimesema kinaandaa utaratibu wa kumuita katika vikao na kumhoji aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani Kangi Lugola ili awaeleze sababu zilizopelekea kuaibisha mkoa huo na Rais John Magufuli ambaye alimuamini na kumpatia nafasi ya uwaziri ili atumikie Taifa.
Hayo yamebainishwa jana na Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Mara, Samuel Kiboye wakati akieleza namna ambavyo chama hicho kinakasirishwa na viongozi wanaopewa nafasi ya kumsaidia Rais katika wizara mbalimbali lakini mwisho wa siku wanaliingiza Taifa katika mikataba mibovu.
Ama kweli usitukane mamba kabla hujavuka mto.
View attachment 1339630
Sent using Jamii Forums mobile app
Ingekuwa kosa la Kange nimefnywa na mpinzani sahizi angekuwa segerea. Malofa kweli hawa wanaigiza tuChama cha Mapinduzi (CCM) mkoa wa Mara kimesema kinaandaa utaratibu wa kumuita katika vikao na kumhoji aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani Kangi Lugola ili awaeleze sababu zilizopelekea kuaibisha mkoa huo na Rais John Magufuli ambaye alimuamini na kumpatia nafasi ya uwaziri ili atumikie Taifa.
Hayo yamebainishwa jana na Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Mara, Samuel Kiboye wakati akieleza namna ambavyo chama hicho kinakasirishwa na viongozi wanaopewa nafasi ya kumsaidia Rais katika wizara mbalimbali lakini mwisho wa siku wanaliingiza Taifa katika mikataba mibovu.
Ama kweli usitukane mamba kabla hujavuka mto.
View attachment 1339630
Sent using Jamii Forums mobile app
Ingekuwa kosa la Kange nimefnywa na mpinzani sahizi angekuwa segerea. Malofa kweli hawa wanaigiza tu
.
Wakimhoji watakuwa wamesaidia kitu gani? kama ni nafasi tayari alishaondoka kwa hiyo hata wakimuita hawatapata jawabu, zaidi wanaweza kuishia kutukanana na kuaibishana wao kwa wao, lakini pia utaratibu wa kuitana kupitia kamati za ccm mkoa umeanza lini. Je katiba ya chama inawapatia hauo mamlaka ya kufanya hivyo au mi hisia za watu wachache
Mmawia,
Chadema mkoa wa Mara watapinga!
Hahahaaaa........naona mmepata mnadhimu mkuu mpya bungeni kwa mikutano miwili iliyobaki!
Wewe jamaa sijui ukoje[emoji23][emoji23][emoji23]