First Born
JF-Expert Member
- Jul 11, 2011
- 5,317
- 1,484
mara nyingi tumekuwa tukishuhudia kimombo a.k.a kingereza kikiongelewa na watu wengi kulingana na matukio..
Lakini kwa dada zetu wa kitz hasa wale ambao wana umaarufu kidogo imekuwa shida (sijui ndo raha kwao) wanaongea kiingereza hata sehemu ambayo walitakiwa kujieleza kwa lugha ya taifa KISWAHILI...
sasa kwa nn inakuwa hivi? ni sifa? ni kuonekana msomi? au ukiwa maarufu usipoongea kingereza hatuwezi kukupata vizuri?
NB: haya mambo nimeyaona zaidi hasa pale anapotakiwa kutoa neno mbele ya kadamnasi au kwenye vyombo vya habari hata kama ni vya hapa hapa nchini bila kujali kuwa anaowafikishia ujumbe wengine hata hawakielewi kingereza chenyewe..
Lakini kwa dada zetu wa kitz hasa wale ambao wana umaarufu kidogo imekuwa shida (sijui ndo raha kwao) wanaongea kiingereza hata sehemu ambayo walitakiwa kujieleza kwa lugha ya taifa KISWAHILI...
sasa kwa nn inakuwa hivi? ni sifa? ni kuonekana msomi? au ukiwa maarufu usipoongea kingereza hatuwezi kukupata vizuri?
NB: haya mambo nimeyaona zaidi hasa pale anapotakiwa kutoa neno mbele ya kadamnasi au kwenye vyombo vya habari hata kama ni vya hapa hapa nchini bila kujali kuwa anaowafikishia ujumbe wengine hata hawakielewi kingereza chenyewe..