Wana jf wenzangu naomba mnisaidie ni wapi nitaweza kujifunza lugha ya kiarabu??
Kulingana na nature ya mishe mishe zangu, kuna uelekeo wa kufanya biashara na partners ambao wengi wao lugha yao pekee ni Kiarabu!
Sasa mimi ni mweupe kabisa katika hiyo lugha! Wapi nitajifunza hata basics tu??
Kulingana na nature ya mishe mishe zangu, kuna uelekeo wa kufanya biashara na partners ambao wengi wao lugha yao pekee ni Kiarabu!
Sasa mimi ni mweupe kabisa katika hiyo lugha! Wapi nitajifunza hata basics tu??