Lugha chafu kwenye vyombo vya usafiri.

Lugha chafu kwenye vyombo vya usafiri.

Mbangubangu

Senior Member
Joined
May 6, 2013
Posts
188
Reaction score
70
Hivi jamani hichi kizazi kinakwenda wapi? Kuna watu me nasema wamekua na tabia sio za kistaharabu hasa sehemu ambazo kuna watu wa rika tofauti.me nimekutana nayo kwenye basi.jamaa flani wanaongea kwa sauti mambo ya ndani kabisa tena matusi bila kuangalia kule kwenye gari kuna watoto na wazee ambao kwa kweli ni aibu.hooh yule mwanamke nimemgonga kabagh.mara mke wa jamaa me na.....mara we jamaa jana umelala na mchepuko lazima umeme.....ulikua na ky kweli.jamani tunaenda wapi.wamama nao kwenye mabasi looh.tutumie basi hata tafsida na kama unaongea n jirani yako mtu wa siti ya tano asisikie basi.
 
Kuna lipi geni ambalo watu hawajui mpaka watumie tafsida?
Wale waleee,maana hata kama mama yako yumo kwenye gari basi kwa vile kila kitu kinajulikana basi watu watukane tu.Hii akili kweli au tope?
Mbona Biblia na Qur`ani wametumia neno Utupu,badala ya kusema Kuuma,Mboo au Mmkundu,unafikiria yangetumika hayo vitabu vitakatifu vingekaa majumbani kwetu.Staha ni amri na Hekma ya Mungu.
Hivi wewe nyumba za ibada unakwenda kweli?Pole kwa kuwa mbali na Mungu wako na kuendekeza Dunia kijinga.
Mama yako mwenye atakuambia nimekubeba mimba miezi tisa ukiwa tumboni,mbona hasemi mimba ilivyoingia,nahasemi kwamba wewe umepitia kwenye Mbunye
Nyambaff
 
Ustaarabu Bongo ulisharudi kwao miaka mingi iliyopita, ,lakini wasafiri nao ni wa kulaumiwa. Wengi huamua kukaa kimya badala ya kumshupalia huyo mtumiaji/watumiaji wa lugha chafu ili abadilishe/wabadilishe mazungumzo yao au wakae kimya.
 
Back
Top Bottom