Mkakatika
Member
- Nov 15, 2009
- 52
- 7
Juzi nilishuhudia braza akiambiwa na mkewe kuwa ana roho mbaya kwa sababu ambazo sijui hasa chanzo chake nini. Mambo yalianzia room kwao na baadae ikawa ugomvi hadharani.
Kwa kweli walirushiana maneno mabaya sana. Kilichoniisikitisha ni kuambizana mmoja wapo ana roho mbaya na mwingine kumwambia alimuoa akiwa hana kitu hivo kamsaidia mpaka kafika hapo dharau ya nini.
Wadau nadhani lugha kama hizo kwa wapendwa si nzuri mwelekeo ni mbaya. Si vizuri kukumbuka yaliyopita wakati wa uchumba na pia kuona mmoja ana roho mbaya wakati bado wako pamoja. Wadau mwasemaje hapo?
Kwa kweli walirushiana maneno mabaya sana. Kilichoniisikitisha ni kuambizana mmoja wapo ana roho mbaya na mwingine kumwambia alimuoa akiwa hana kitu hivo kamsaidia mpaka kafika hapo dharau ya nini.
Wadau nadhani lugha kama hizo kwa wapendwa si nzuri mwelekeo ni mbaya. Si vizuri kukumbuka yaliyopita wakati wa uchumba na pia kuona mmoja ana roho mbaya wakati bado wako pamoja. Wadau mwasemaje hapo?