Lugha 6 za Afrika zinazotumika zaidi

Wewe hapa ktk bandiko hili umeshatumia maneno 8 ya KIARABU Fasaha. Na mengine 10 Yenye Asili hoo hio ya KIARABU.
Sasa sijui unaongea uharo gani hapa.

Km unaona kiarabu hakina maana kwako basi ktk Hilo bango lako toa maneno yafuatayo uone km utaeleweka.

aibu, lugha,dunia,shaka,dini,ufahamu ,
imani,haswa.

Muongea kiswahili YOYOTE hata afanye nini KIARABU HAWEZI KUKIEPUKA.

Andika lugha yenu ya Kikerewe hapa km kuna mtu atakuelewa au kukujibu.
Kweli kabisa.

Hawa jama hata kwenye lugha wanaona wivu, ingekuwa Kiswahili kina maneno mengi ya Kiyahudi wasinge bisha, wanaleta udini hata kwenye lugha, Hawa jamaa ni wabaguzi wakubwa... Lakini hata wakifanyaje hawawezi kubadilisha ukweli.
 
We failed to communicate properly in our language, instead we used foreign language which are often difficult and complex to comprehend..

Westerners wame succeed kwa kutumia lugha zao, even chinese, Japanese, & Korean

Hahaha

Vipi umefeli ku communicate na wazungu? Na hali wewe mwenyewe hapa umeandika kwa lugha ya kizungu?

Ama kweli akili ni mali.

Kama haujui kizungu usingeweza kuandika kizungu.

Umasikini unaletwa na ufisadi, uzembe..... Maasi yanaleta umasikini.

Lugha haileti umasikini.

Kama lugha inaleta umasikini mbona wachina matajiri? Wachina hawaongei kizungu.

Hahaha

Zimbabwe wanaongea Kizungu lakini maskini kabisa, mbona lugha ya kizungu haiku watajirisha?

Lugha sio sababu ya utajiri au umasikini.

Kama unataka kuwa tajiri chapa kazi na acha kumuasi Mungu utaona baraka za kila aina zitakushukia. Lugha sio sababu wa umaskini wako.

Hona hoja wewe.
 
Hahaha

Vipi umefeli ku communicate na wazungu? Na hali wewe mwenyewe hapa umeandika kwa lugha ya kizungu?

Ama kweli akili ni mali.

Kama haujui kizungu usingeweza kuandika kizungu.

Umasikini unaletwa na ufisadi, uzembe..... Maasi yote yanaleta umasini.

Lugha haileti umasikini.

Kama lugha inaleta umasikini mbona wachina matajiri? Wachina hawaongei kizungu.

Hahaha

Zimbabwe wanaongea Kizungu lakini maskini kabisa, mbona lugha ya kizungu haiku watajirisha?

Lugha sio sababu ya utajiri au umasikini.

Kama unataka kuwa tajiri chapa kazi na acha kumuasi Mungu utaona baraka za kila aina zitakushukia. Lugha sio sababu wa umaskini wako.

Hona hoja wewe.
Kupitia mifano yako ndio nakoelezea Mimi...

Sisi tulipaswa kutumia lugha zetu ili tuendelee kama wachina, wajapan, wakorea wazungu, warusssia, wahindi, wanavyoendelea.



Kiarabu ni lugha ya waarabu, kiingereza ni cha wazungu..
Sisi waafrika tulipaswa kutumia lugha yetu.
Kiarabu sio lugha yetu. Hata kiingereza sio lugha yetu...

Sisi ni waafrika... Tuna asili yetu na identify yetu vilevile...
Kitendo cha kiarabu kua lugha kubwa afrika. Ni kama kusema waafrika weusi hatupo afrika...
Lugha ni matokeo ya nguvu zA kiuchumi.. Na watumiaji wa lugha hiyo watakua wako vizuri kiuchumi kuliko sisi waafrika tuliopoteza identity yetu....

Pia kila jamii duniani inafanya kazi, tunakula kwasababu tumefanya kazi... Lakini tu masikini kwasababu inategemea ni kazi ipi tunafanya...
 
Kupitia mifano yako ndio nakoelezea Mimi...

Sisi tulipaswa kutumia lugha zetu ili tuendelee kama wachina wanavyoendea. Kiarabu ni lugha ya waarabu, kiingereza cha wazungu..
Sisi waafrika tulipaswa kutumia lugha yetu.
Kiarabu sio lugha yetu. Hata kiingereza sio lugha yetu...

Sisi ni waafrika... Tuna asili yetu na identify yetu vilevile...
Kitendo cha kiarabu kua lugha kubwa afrika. Ni kama kusema waafrika weusi hatupo afrika...
Lugha ni matokeo ya nguvu zA kiuchumi.. Na watumiaji wa lugha hiyo watakua wako vizuri kiuchumi kuliko sisi waafrika tuliopoteza identity yetu....

Pia kila jamii duniani inafanya kazi, tunakula kwasababu tumefanya kazi... Lakini tu masikini kwasababu inategemea ni kazi ipi tunafanya...
1)Tulipaswa tutumie lugha ipi? Itaje kwa jina.

2)Acha ubaguzi wa rangi wewe, kuna Waafrika weusi wengi wanaongea Kiarabu (kwa mfano Sudan, Eritrea, Djibouti, Comoro, Chad, Niger, Moritania..... ).
 
1)Tulipaswa tutumie lugha ipi? Itaje kwa jina.

2)Acha ubaguzi wa rangi, kuna Waafrika weusi wengi wanaongea Kiarabu (kwa mfano Sudan, Eritrea, Djibouti, Comoro.... ).


Hao wasudani ni maskini sana...hata hivyo.

Mi ni mzalendo, wabaguzi ni weupe unaowatukuza unknowingly..
..
 
Hao wasudani ni maskini sana...hata hivyo.

Mi ni mzalendo, wabaguzi ni weupe unaowatukuza unknowingly..
..



Kupitia mifano yako ndio nakoelezea Mimi...

Sisi tulipaswa kutumia lugha zetu ili tuendelee kama wachina, wajapan, wakorea wazungu, warusssia, wahindi, wanavyoendelea.



Kiarabu ni lugha ya waarabu, kiingereza ni cha wazungu..
Sisi waafrika tulipaswa kutumia lugha yetu.
Kiarabu sio lugha yetu. Hata kiingereza sio lugha yetu...

Sisi ni waafrika... Tuna asili yetu na identify yetu vilevile...
Kitendo cha kiarabu kua lugha kubwa afrika. Ni kama kusema waafrika weusi hatupo afrika...
...



1)Tulipaswa tutumie lugha ipi? Itaje kwa jina.

Jibu, usikimbie..

2)Acha ubaguzi wa rangi wewe, kuna Waafrika weusi wengi wanaongea Kiarabu (kwa mfano Sudan, Eritrea, Djibouti, Comoro, Chad, Niger, Moritania..... ).

3) Washukuru walioanzisha lugha ya Kiswahili imetuwezesha sisi Watanzania ku communicate in one language.
 
1)Tulipaswa tutumie lugha ipi? Itaje kwa jina.

Jibu, usikimbie..

2)Acha ubaguzi wa rangi wewe, kuna Waafrika weusi wengi wanaongea Kiarabu (kwa mfano Sudan, Eritrea, Djibouti, Comoro, Chad, Niger, Moritania..... ).

3) Washukuru walioanzisha lugha ya Kiswahili imetuwezesha sisi Watanzania ku communicate in one language.
1. Waafrika hatuna lugha moja ,kila taifa lina Iugha yao ya asili.

2. Tuwashukuru walioanzisha kiswahili kivipi? Kwani wasingeanzisha tungekosa lugha ya kutumia..?

Au kabla hawajaanzisha kiswahili tulikua tunatumia Lugha gani Ambayo haikianzishwa?
 
Kweli kabisa.

Hawa jama hata kwenye lugha wanaona wivu, ingekuwa Kiswahili kina maneno mengi ya Kiyahudi wasinge bisha, wanaleta udini hata kwenye lugha, Hawa jamaa ni wabaguzi wakubwa... Lakini hata wakifanyaje hawawezi kubadilisha ukweli.
Lugha mbalimbali duniani zina maneno yenye asili ya lugha zA wengine. Huu ni ustaarabu wa lugha. Bado haikifanyi kiswahili Kia lugha ya kiarabu.

Kuna faida gani ukijua kiarabu ?
Na kuna faida gani ukijua kiingereza?
At least kiingereza nitakikuta kwenye interview, na presentation.....
 
Lugha mbalimbali duniani zina maneno yenye asili ya lugha zA wengine. Huu ni ustaarabu wa lugha. Bado haikifanyi kiswahili Kia lugha ya kiarabu.

Kuna faida gani ukijua kiarabu ?
Na kuna faida gani ukijua kiingereza?
At least kiingereza nitakikuta kwenye interview, na presentation.....

1)Wewe mbumbumbu nani kasema Kiswahili ni Kiarabu? Tumekwambia kuna maneno mengi sana ya kiarabu ndani ya Kiswahili (hamna mtu kasema Kiswahili ni Kiarabu).

2) Kiarabu Muhimu sana kwetu sisi Waislamu (Tukijua kiarabu At least tutaweza kusoma kitabu cha Mwenyezi Quran kwa Kiarabu, siwezi kuhitaji Tafsiri).
 
1. Waafrika hatuna lugha moja ,kila taifa lina Iugha yao ya asili.

2. Tuwashukuru walioanzisha kiswahili kivipi? Kwani wasingeanzisha tungekosa lugha ya kutumia..?

Au kabla hawajaanzisha kiswahili tulikua tunatumia Lugha gani Ambayo haikianzishwa?

Hahaha,

ama kweli kutafakari ni mali.

Kiswahili kimesaidia sana kuwa unit wa tz.

Msukuma hawezi kutumia kisukuma ku wasiliana na mhaya (lakini sasa wanaweza kutumia Kiswahili kuwasiliana).

Umeelewa eeh?
 
Hahaha,

ama kweli kutafakari ni mali.

Kiswahili kimesaidia kui unit tz.

Msukuma hawezi kutumia kisukuma ku wasiliana na mhaya (lakini sasa wanaweza kutumia Kiswahili kuwasiliana).

Hata wajerumani watasema. Kijerumani kimewasaidia ku wa unit wajerumani...
Kenya watasema kiingereza, wamarekani watasema kiingereza the list goes on and on....

UngeTaja sababu Ambayo ni solid..
Kuliko kua politically correct.

Kiswahili kima variation kati ya eneo moja na lingine kati ya nchi na nchi...
What about Kenyans Swahili,.what about/DRC Swahili, Ugandan swahili?

Ndani ya tizedi yenyewe bado tuna variations...
Zanzibar swahili, kiswahili cha kimakunduchi? Kiswahili cha bara etc...
Kiswahili cha kihaya.. Etc...


Unity is brought by LOVE not Language.
When there's is LOVe language isn't a barrier..
 
1)Wewe mbumbumbu nani kasema Kiswahili ni Kiarabu? Tumekwambia kuna maneno mengi sana ya kiarabu ndani ya Kiswahili (hamna mtu kasema Kiswahili ni Kiarabu).

2) Kiarabu Muhimu sana kwetu sisi Waislamu (Tukijua kiarabu At least tutaweza kusoma kitabu cha Mwenyezi Quran kwa Kiarabu, siwezi kuhitaji Tafsiri).
1. Lugha sio kitu static. Leo utasema kuna maneno mengi ya kiarabu, things change over time.
Misamiati mipya inakuja..na ya zamani huondoka. So hakuna umaarufu wowote wa wArabu na lugha yetu. Kiswahili ni Kibantu.. Makabila yetu ndiyo yamekiweka hapo sio waarabu.

2. Lugha iliyoongelewa zama za antiquity haitumiki hii Leo.
Kwanini ,kumeanza kuchapisha koran kwa kiswahili? What is the point for having those translations? Ndo kusema ni necessary kua bila kiarabu huwezi wasiliana na Mungu?
 
1. Lugha sio kitu static. Leo utasema kuna maneno mengi ya kiarabu, things change over time.
Misamiati mipya inakuja..na ya zamani huondoka. So hakuna umaarufu wowote wa wArabu na lugha yetu.

2. Lugha iliyoongelewa zama za antiquity haitumiki hii Leo.
Kwanini ,kumeanza kuchapisha koran kwa kiswahili? What is the point for having those translations? Ndo kusema ni necessary kua bila kiarabu huwezi wasiliana na Mungu?

1) Hata ukichukia, Kwenye lugha ya Kiswahili kuna maneno mengi sana ya Kiarabu (tena sana)

2) Nani kasema bila Kiarabu huwezi kuwasiliana na Mungu? Acha uzushi!

Unaweza kuwasiliana na Mungu kwa lugha yeyote ile lakini hauwezi kusoma kitabu cha kichina mpaka ujue kichina (au mtu akutafsirie).

Umuelewa eeeh?
 
Hata wajerumani watasema. Kijerumani kimewasaidia ku wa unit wajerumani...
Kenya watasema kiingereza, wamarekani watasema kiingereza the list goes on and on....

UngeTaja sababu Ambayo ni solid..
Kuliko kua politically correct.

Kiswahili kima variation kati ya eneo moja na lingine kati ya nchi na nchi...
What about Kenyans Swahili,.what about/DRC Swahili, Ugandan swahili?

Ndani ya tizedi yenyewe bado tuna variations...
Zanzibar swahili, kiswahili cha kimakunduchi? Kiswahili cha bara etc...
Kiswahili cha kihaya.. Etc...


Unity is brought by LOVE not Language.
When there's is LOVe language isn't a barrier..

Hahaha,

Hizo ni lahaja (dialect) za Kiswahili (kila region ina dialect yake) lakini lahaja zote hizo ni za Kiswahili sio lugha ingine kama unavyo dai wewe. Mzanzibari na Mtanganyika wakiongea Kiswahili wanaelewana tu (ila lahja yao tu ndio tofauti, kila region ina dialect (lahaja) yake lakini yote ni Kiswahili).

Pia kama ulivyo ambiwa hapo juu Kwenye Kiswahili kuna maneno mengi sana ya Kiarabu.

Umuelewa eeh?
 
Kinachonisikitisha ni kwamba kiswahili kinazidi kupoteza maneno yake ya asili na kuvamiwa na maneno ya kingereza hasa mtaani. mf neno pozi wakimaanisha pumzika na mengine kadha wa kadha.Miaka 50 ijayo kiswahili kinaonekana kitakuwa na dalili za kupoteza muundo wake.VIJANA JIVUNIENI KUGHA YENU.ACHANENI NA HABARI ZA KISWANGLISH.
 
Takwimu hazipo Sawa.. Nigeria inazungumza English na inapopulation kubwa ila kwenye key ni tofaut
Nadhani hizo lugha hazikuangalia anazungumza nani na yupo wapi, ndio maana kwenye key haikutanjwa nchi, japokuwa key inaonyesha ni maeneo gani lugha fulani inaongewa sana,hivyo kwa Nigeria itakuwa kotekote 50m Hausa na 150m Kiingereza, kwa maana hio 150m wanaozungumza kiingereza wamo Wakenya, wanyarwanda, Tanzania, wanaijeria, n.k
 
Back
Top Bottom