Kaluluma
JF-Expert Member
- Mar 7, 2019
- 474
- 622
Kwema wakuu changamoto
niliyonayo ni kwamba mdogo wangu
kaapply mkopo ila ukifungua kwenye
akaunti yake inaonekana kama
nilivyoambayanisha hapa,
Je Kuna yeyote amewahi kukutana
na changamoto hii na aliitatua Kwa
kutumia mbinu ipi?
Natanguliza shukrani zangu za dhati🙏
niliyonayo ni kwamba mdogo wangu
kaapply mkopo ila ukifungua kwenye
akaunti yake inaonekana kama
nilivyoambayanisha hapa,
Je Kuna yeyote amewahi kukutana
na changamoto hii na aliitatua Kwa
kutumia mbinu ipi?
Natanguliza shukrani zangu za dhati🙏