LUG Ina maana gani unapoomba mkopo kupitia HESLB?

LUG Ina maana gani unapoomba mkopo kupitia HESLB?

Kaluluma

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2019
Posts
474
Reaction score
622
Kwema wakuu changamoto

niliyonayo ni kwamba mdogo wangu

kaapply mkopo ila ukifungua kwenye

akaunti yake inaonekana kama

nilivyoambayanisha hapa,

Je Kuna yeyote amewahi kukutana

na changamoto hii na aliitatua Kwa

kutumia mbinu ipi?
Screenshot_20251109-195654.png

Natanguliza shukrani zangu za dhati🙏
 
local undergraduate-LUG

Hapo inaonekana hajapangiwa mkopo bado hebu bonyeza "CONTINUE" uone itakupeleka wapi
 
Ukibonyeza continue inakuleta hapa
Screenshot_20251109-210339.png
 
Back
Top Bottom