Nimesoma habari yote pamoja na Ku download hiyo PDF ndo maana nikawa na uhakika Wa kusema kuwa ni uzushi....
Bila Nyerere TZ isingestawi.....
Teh teh teh an empty stomach can't understaand philosophy....
Nimeelewa fika swali lako na mantiki yake itawiana sana na jibu la swali nililokupa.....
Kama kuwepo au kutokuwepo enzi ya Nyerere ni kigezo kikubwa kwako ktk kupata picha ya changizi au mawazo yangu ndio maana nami nikakutandika swali kama je ulikuwepo enzi ya Mtume Muhammad??? Naomba jibu lako ambalo automatically litajibu lako....
Ulikuwepo wakati Wa mtume Muhammad?
Mwijage kaishia kulalama madhira aliyoyapata wakati wa Nyerere ilhali asitanabahishe yepi yaliyopelekea yeye kuwa adui wa serikali. Hakuna serikali duniani isiyoshughulika na watu wachache kwa maslahi ya wengi. Ili kufanya ulinganifu wanaukumbi mngeanza hoji vifo tatanishi ktk awamu ya nne kama kifo cha Sengondo Mvungi lusungo.
Ulikuwepo wakati wa Nyerere?
Mimi nilikuwepo wakati wa Nyerere na kabla yake.
Bibie, ulikuwepo enzi za wakoloni? Ulikuwa na cheo gani katika serikali ya Turnbull?Ulikuwepo wakati wa Nyerere?
Mimi nilikuwepo wakati wa Nyerere na kabla yake.
Bibie, ulikuwepo enzi za wakoloni? Ulikuwa na cheo gani katika serikali ya Turnbull?
Tumbuli??Hana jipya huyo serikali ya Turnbull impe cheo maamuma Kama yeye?
ndugu yangu junius unakuwa mwepesi sana wa kujudge mambo ya upande mmoja, hiyo statment au maelezo ni ya upande mmoja tu, wewe unaamini vipi kwamba huo ndio ukweli halisi.
Pili huyu bwana na kikundi chake inaonekana ni kikundi cha ukabila (HAYA TRIBE) na kwa asilimia kubwa kina ushirikiano mkubwa na nchi ya jirani Uganda kutokana na maelezo ya huyo bwana.
TATU hakuna kiongozi au state yoyote inayoweza kusimama bila ya damu kumwagika na watu kupata mateso makuu, hata Muhamadi alipokuwa anasimamisha dini watu wengi walikufa kwa sababu tu ya kutomwamini/kutomkubali, sasa iweje unashangaa ya Nyerere, lakini hata tukimwacha Nyerere je waliomfuata walishakuwa na mambo kama hayo ya Nyerere, ndugu yangu Junius hebu angalia vifo vya utata vya KOLIMBA, KOMBE,MALIMA,BALALI , sasa hapa utamshirikisha Nyerere, wewe umecomment hii issue kwa chuki za dhairi kwa Nyerere,
kuna mambo mengi tu yanatokea na kuna watu wengi tu wanashindwa hata sasa kukanyaga Tanzania japo Nyerere keshakufa, ajali ya Mwakyembe mpaka leo ni utata mtupu, kifo cha Wangwe mpaka leo ni utata mtupu,
NNe, sio Tanzania tu ndio watu walikuwa wapo detained hiyo nni system ya dunia nzima, Moi aliua (R.Auko na wengineo), Iddi Amini alikua, Bush, Putin, na viongozi almost wote katika hii dunia
Mwisho kabisa, ni kwamba usijudge vitu kwa chuki binafsi hata kama ni kweli huyo bwana aliteswa lakini alikuwa anadeserve kwa sababu alikuwa kinyume na misingi iliyokuwa inasimamishwa wakati ule, na sio yeye tu hata Kambona alishindwa ile misingi na akaamua kutimkia UK
Kituko,
Nashindwa kukuelewa unachokubali kipi na kipi unakataa. Kweli sipendi maovu ya Nyerere na sitaki unifanye niamini kuwa hakuwa nayo.
Nyerere kafanya maovu mangapi mpaka ushushe heshima yake? na je ukilinganisha na mambo aliyoyaweka katika utawala wake kwa lengo la kujenga umoja na amani ya nchi hii weka kwenye mizani ndipo upate jibu
Then jua kwamba hata ungekuwa wewe ndie rahisi lazima ungekuwa na maadui wengi tuu na ili utimize yale mawazo mema uliyokuwa nayo lazima kuna watu wataumia tuu.
Si vibaya kumuondoa adui mmoja na kuokoa maisha ya watu zaidi ya milion.