Candid Scope
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 11,883
- 6,884
- Thread starter
- #21
Nilikuwa nafikiria kuingia siasa lakini itabidi kwanza niangalie kama nilikuwa sahihi.
Rostam Azizi ameliona hili, bora kuwa huru kabisa kuliko huu wa kupigia magoti
Nilikuwa nafikiria kuingia siasa lakini itabidi kwanza niangalie kama nilikuwa sahihi.
Na Mbowe alisema heri kufa ukiwa umesimama kuliko kuishi huku umepiga magoti.Rostam Azizi ameliona hili, bora kuwa huru kabisa kuliko huu wa kupigia magoti
WAPIGA kura wa kata ya Makonde wilaya ya Ludewa mkoani Iringa wampokea mbunge wao wa jimbo la Ludewa Deo Filikunjombe (CCM) kwa mawe ,fimbo na mabango ya kumkataa diwani wa kata ya Makonde - Chrispin Mwakasungura (CCM) na kurudisha kadi nne za CCM kama njia ya kumkataa diwani huyo kwa madai kuwa si chaguo lao na amekuwa akifanya ufisadi katika miradi ya maendeleo
Huku mbunge Filikunjombe akilazimika kuwatuliza wananchi hao kwa kuwapigia magoti ili wasivuruge mkutano wake na kuwa mkutano huo si wa diwani na kama diwani wao ni fisadi wamfikishe mahakamanikwa tuhuma za ufisadi.
Tukio hilo lilitokea juzi kabla ya mbunge huyo kupata ajali ya kupinduka na mtumbwi katika Ziwa Nyasa pamoja na familia yake mara ya kuwahotubia wananchi hao na kuwakabidhi boti yenye thamani ya shilingi milioni 60 kwa ajili ya usafiri wa wagonjwa .
Source: Mzee wa Matukio Daima
acha dharau mkuu, jina na mtu wapi na wapi?Diwani mwenyewe anaitwa mwakasungura we unatarajia nini hapo?
Mkuu Habari za Asubuhi. Nilikuwa napita tu naelekea kwenye chai nikaona nikupe Hi.[h=3]MAISHA YA MWALIMU WA SHULE ILIYOJENGWA JUU YA MADINI LUDEWA
[/h
Huu ni uchunguzi wa kina unaofanywa na mtandao huu chini ya ufadhili wa mtandao wa jinsia Tanzania (TGNP) katika kuangazia maisha ya wananchi na walimu wa shule za pembezoni mwa Tanzania kama hivi
alafu mnataka na yeye ashangilie miaka 50 ya uhuru.[h=3]MAISHA YA MWALIMU WA SHULE ILIYOJENGWA JUU YA MADINI LUDEWA[/hHuu ni uchunguzi wa kina unaofanywa na mtandao huu chini ya ufadhili wa mtandao wa jinsia Tanzania (TGNP) katika kuangazia maisha ya wananchi na walimu wa shule za pembezoni mwa Tanzania kama hivi
alafu iweje?Mkuu Habari za Asubuhi. Nilikuwa napita tu naelekea kwenye chai nikaona nikupe Hi.
[h=3]maisha ya mwalimu wa shule iliyojengwa juu ya madini ludewa
[/h
huu ni uchunguzi wa kina unaofanywa na mtandao huu chini ya ufadhili wa mtandao wa jinsia tanzania (tgnp) katika kuangazia maisha ya wananchi na walimu wa shule za pembezoni mwa tanzania kama hivi
huyu ni deo ninayemfahamu mimi au mwingine? lakini sishangai sana dhambi aliyofanya wakati wa uchaguzi inamuhukumu sasa.
Unamfahamu Deo kiubinadamu au kifisadi? hakuna binadamu asiekua na thambi na wakati wa uchaguzi ww ulikua chama gani? ebu wacha kupaka mtu matope kwa ajili ya chuki binafsi, tangau aingei kwenye madaraka mpaka sasa ni mda gani? na amefanya mangapi kwa wa Ludewa? kua binadamu mwenye kuona mema pia sio maovu peke yake,