Expensive life
JF-Expert Member
- May 2, 2020
- 3,712
- 11,611
Wakuu, kati hawa miamba wawili dube, Marley nani alikuwa mkali kwako? Kwangu mimi kura ipo kwa dube.
Umemaliza kabisaBob Marley ni baba lakini Lucky Dube alikuwa anatishia amani!
Wachaga kwa dube huwaambii kituAlways Bob Marley sema Dube simpingi