Lowassa 'yu hoi' Monduli

Lowasa kwanza afya mbovu,, pili atashindwa tu na akishinda siyo kama ilivyokuwa 2005..

Chadema mwendo mdundo..
 
Lorgicaly its impossible kumshinda Lowasa kwa sasa pale Monduli!!

With collateral gimics .. Yes ...Anaweza kushindwa kwa kura ... Lakini hiyo haimanishi hatashinda ubunge

Kumshinda kwa Kura ...sio hoja...given the Evil tendency za jamaa! ...Atashinda kwa NGUVU YA UFISADI

Kufikiri utamshinda Lowasa kupitia nguvu ya ufisadi you are talking kwanza kuushinda ufisadi Unaoitafuna Tanzania kama nchi.

Nguvu ya ufisadi ni kubwa na ameishikia huyu bwana .... Hata kikwete hamfanyi kitu!!

Kuushinda ufisadi wa Taifa la Tz ..ni Msuguano mzito Watanzania wengi wala hawana pumzi ya kweli kuukabili kwa Sasa!! Na huu ndio udhaifu atakao utumia EL!

Lakini bottom line: Naamini Mungu is fantastic metabollic force, a universal solvent - secured force .. even under Muheshimiwa EL ...Akipitiwa na upepo wa nguvu ys Mungu, amabalo si jambo la ajabu hata kidogo na sala zetu wote zinaelekezwa pale ... we can definetly win...Then we will sing Mungu Ibariki Tz from Monduli. Na tutamtaarifu Baba wa Taifa kwa means zozote..and we know how he will feel!!!
 
watu wengine wanadhani mambo ni rahisi sana... hivi unamjua lowassa wewe??

Stop that dark mind, Lowassa ni nani? ni mke na watoto wake ndio wanaomjua, sisi tunamjua kama fisadi aliyehusika na richmond period, who is he..? we 1000% we don't care, mbona anahangaika kuomba kura si angelala home, anaweza kukosa kura straight forward, not these days, ilikuwa zamani, hata ukiwa na fedha chafu, kura unaweza kukosa hujui? Change, change, hatutaki tena kudanganywa period, watu wanaelewa sana siku hizi, wait 31 oct utaona, Dr Slaa is only person we believe in, we have faith, hope, trust in him period,.
 
Wajameni mbona tunaonekana kukata tamaa na huyu mtu anaitwa Lowassa.. Kumbukeni hadithi ya David na Goliatia katika maandiko matakatifu. Mimi nadhani muhimu ilikuwa ni kuzidi kujipa moyo kwamba tutashinda kuliko kuzidi kukatishana tamaa. Kweli wote tunafahamu hilo lakini kwani lenye mwanzo halikosi kuwa na mwisho jamani. Hakuna kinachoshindikana chini ya jua. Tujipeni moyo maana wakati wa ukombozi ni sasa. CCM nawaambia hivi Shangwe inaweza ikageuzwa kuwa kilio na furaha yenu ikawa maombolezo. What we preach is what we get.
 
mkuu... nashukuru kunipa nafasi... unajua ukisoma post number 1, utadhani kazi imeisha

lakini cha maana hapa ni kukusanya nguvu, lowassa was not built in a day and will not go down kirahisi... kama kuna nia ya dhati, basi ni kuanza kukamata viti vya mwdiwa, wanampa sana nguvu kwani, ikiisha hiyo ndio kupanda juu
Aminia mkuu
Hapo kwenye media ni pa kufanyia jitihada kubwa maana wajinga wa media house wamelipwa bigtime na hawajali kuikabidhi nchi kwa jinamizi
 
Katika kile kinacho semekana ya kuwa utabiri wa kweli unatimia umeanza kujionyesha dhahiri huko jimbo la monduli anapotoka fisadi lowassa,

mapema juzi kijiji kimoja na vya jirani alimaarufu kama mto wa mbu, kijiji hicho na vya jirani siku za nyuma vilikuwa ni ngome kuu ya lowassa laki ya kustaajabisha baada ya kamanda wa CHADEMA mgombea ubunge wa jimbo hilo kwenda kuhutubia na kumwaga sera za uhakika na si longo longo

kijij kizima kikashusha bendera za ccm na kupandisha za chadema na wanakijiji hawo kuapa ya kuwa lowassa asitegemee kupata kura hata moja kutoka kijiji hicho na vijiji vya jirani,

lowassa alivyo pata habari akatuma timu yake pamoja na yeye mwenyewe wakaenda pale, yaliyo mkuta lowassa hakuamini baada ya baadhi ya jamii ya kimasai kupandisha morali huku wakisema unatuaibisha jamii ya kimasai ndiyo maana tunakuhisi yakuwa wewe siyo mmasai,

nibora tukaongozwa na mtu tunayejua kuwa simmasai kuliko kuwa na imani kuwa tunaongozwa na masai wmenzetu kumbe pandikizi kwa hali hii ulivyo liaibisha jamii ya kimasai sasa basi hapa no CCM hapa ni ile chama ya ule mtu inaitwa SLAA (CHADEMA) wewe ondoka tu hapa kabla haja kukuta mengine,

masai wakakaa waka chagua mtu wao mmoja kwajili ya kupiga kura kwa CCM ili wasije wakasalitiana wengi wapiga naasijulikane nani kafanya hivyo,

so kwasasa bendera za chadema ndizo zinazo pepea maeneo hayooo........ WAO WANA HELA sisi CHADEMA TUNA MUNGU.... MPAKA KIELEWEKE

kupeperusha bendera tu hakutoshi jamani....mizizi muhimu.kata mzizi kwanza wa mmea uliopo ndo upande mbegu nyingine.
 
Katika kile kinacho semekana ya kuwa utabiri wa kweli unatimia umeanza kujionyesha dhahiri huko jimbo la monduli anapotoka fisadi lowassa,

mapema juzi kijiji kimoja na vya jirani alimaarufu kama mto wa mbu, kijiji hicho na vya jirani siku za nyuma vilikuwa ni ngome kuu ya lowassa laki ya kustaajabisha baada ya kamanda wa CHADEMA mgombea ubunge wa jimbo hilo kwenda kuhutubia na kumwaga sera za uhakika na si longo longo

kijij kizima kikashusha bendera za ccm na kupandisha za chadema na wanakijiji hawo kuapa ya kuwa lowassa asitegemee kupata kura hata moja kutoka kijiji hicho na vijiji vya jirani,

lowassa alivyo pata habari akatuma timu yake pamoja na yeye mwenyewe wakaenda pale, yaliyo mkuta lowassa hakuamini baada ya baadhi ya jamii ya kimasai kupandisha morali huku wakisema unatuaibisha jamii ya kimasai ndiyo maana tunakuhisi yakuwa wewe siyo mmasai,

nibora tukaongozwa na mtu tunayejua kuwa simmasai kuliko kuwa na imani kuwa tunaongozwa na masai wmenzetu kumbe pandikizi kwa hali hii ulivyo liaibisha jamii ya kimasai sasa basi hapa no CCM hapa ni ile chama ya ule mtu inaitwa SLAA (CHADEMA) wewe ondoka tu hapa kabla haja kukuta mengine,

masai wakakaa waka chagua mtu wao mmoja kwajili ya kupiga kura kwa CCM ili wasije wakasalitiana wengi wapiga naasijulikane nani kafanya hivyo,

so kwasasa bendera za chadema ndizo zinazo pepea maeneo hayooo........ WAO WANA HELA sisi CHADEMA TUNA MUNGU.... MPAKA KIELEWEKE

Pamoja na kwamba nishabikii Chadema wala CCM, lakini kwa jinsi ninavyomfahamu Lowassa na Monduli, ninadiriki kusema uliyoandika si sahihi ni fabrications tu za ushabiki.
 
Pamoja na kwamba nishabikii Chadema wala CCM, lakini kwa jinsi ninavyomfahamu Lowassa na Monduli, ninadiriki kusema uliyoandika si sahihi ni fabrications tu za ushabiki.

Unazungumza kwa mazoea au una data already?? Isije ikawa ndo nyie mnaopinga kwamba JK yupo ICU!!
 
dogo sikiliza, tena sikiliza sana

mambo ya mke na familia, tuna jukwaa kule, karibu sana... i am talking about politics and uchaguzi to be specific.. mimi si wewe unayejadili mpita njia ukiwa selo.. you hvae to get out to see the sunlight!!

Lowassa ni zaidi ya unavyomjua, wenye akili timamu wanaelewa... kumuangusha ni zaidi ya mto wa mbu... ningekua naongea na kuwaza unavyowaza, basi tungekua na nchi mbaya zaidi ya hapa

you must learn to appreciate capability ya mtu kabla ya kuweka mabandiko udhaniayo... kwenye primaries tuliambiwa kakaliwa koon, akachapa over 90%... he is powerful and capable of using vinavyoonekana na visivyoonekana. FYI, hata rafiki yangu lema pale arusha, kama isingekua lowassa basi angeanza kusherehekea ushindi

Una jina zuri lakini huendani nalo

Acid jazba yako inatia shaka sana. Nguvu hiyo unayozungumzia haitashinda nguvu ya watu. Lowasa 1995 akiwa Arusha alimshurutisha mtu ajitoe saa sita usiku baada ya kuongoza kwenye kura za maoni. Ikiwa hiyo ndiyo nguvu basi nakubaliana na wewe
 
dogo sikiliza, tena sikiliza sana

mambo ya mke na familia, tuna jukwaa kule, karibu sana... i am talking about politics and uchaguzi to be specific.. mimi si wewe unayejadili mpita njia ukiwa selo.. you hvae to get out to see the sunlight!!

Lowassa ni zaidi ya unavyomjua, wenye akili timamu wanaelewa... kumuangusha ni zaidi ya mto wa mbu... ningekua naongea na kuwaza unavyowaza, basi tungekua na nchi mbaya zaidi ya hapa

you must learn to appreciate capability ya mtu kabla ya kuweka mabandiko udhaniayo... kwenye primaries tuliambiwa kakaliwa koon, akachapa over 90%... he is powerful and capable of using vinavyoonekana na visivyoonekana. FYI, hata rafiki yangu lema pale arusha, kama isingekua lowassa basi angeanza kusherehekea ushindi

Una jina zuri lakini huendani nalo
pumba tupu
 
Acid jazba yako inatia shaka sana. Nguvu hiyo unayozungumzia haitashinda nguvu ya watu. Lowasa 1995 akiwa Arusha alimshurutisha mtu ajitoe saa sita usiku baada ya kuongoza kwenye kura za maoni. Ikiwa hiyo ndiyo nguvu basi nakubaliana na wewe

Huyu ndiye Lowasa ninayemjua...anaweza kumtokea hata Kikwete kwa namna hiyo...anamvutia pumzi na mahesabu tu...so Kumshinda inabidi tuushinde Ufisadi wa Taifa kwanza...Lakini huu ni mtizamo wa kiakili:::...Kuna mtizamo wa KI UUNGU...Unaweza usimbakize na msishangae!
 
dogo sikiliza, tena sikiliza sana

mambo ya mke na familia, tuna jukwaa kule, karibu sana... i am talking about politics and uchaguzi to be specific.. mimi si wewe unayejadili mpita njia ukiwa selo.. you hvae to get out to see the sunlight!!

Lowassa ni zaidi ya unavyomjua, wenye akili timamu wanaelewa... kumuangusha ni zaidi ya mto wa mbu... ningekua naongea na kuwaza unavyowaza, basi tungekua na nchi mbaya zaidi ya hapa

you must learn to appreciate capability ya mtu kabla ya kuweka mabandiko udhaniayo... kwenye primaries tuliambiwa kakaliwa koon, akachapa over 90%... he is powerful and capable of using vinavyoonekana na visivyoonekana. FYI, hata rafiki yangu lema pale arusha, kama isingekua lowassa basi angeanza kusherehekea ushindi

Una jina zuri lakini huendani nalo

Mara Nyingi tungo tata zinaleta maana nyingi.

Pia kama wote tungekuwa tunawaza kuwa kuna vigogo wasioangushika ba si hakuna haja ya kujadili wala kupiga kura. Kumbuka Tingatinga limeangushwa. Miamba kama kina Mateo Quares, Chambiri, Mungai nk iliangusha bila kutegemea. lowasa naye anaweza kupigwa chini kwani ni binadamu kama wengine. It is true he is capable of using everything but siku ya kufa nyani miti yote huteleza

Pia ni kweli kuwa nayemjua Lowasa ni mkewe. Kama kuna wengine ni siri yao.
 
watu wengine wanadhani mambo ni rahisi sana... hivi unamjua lowassa wewe??

Lowasa hata kama ana nguvu kumshinda shetani, lakini hana nguvu ya kumshinda Mungu ambaye anajidhihirisha katika nguvu ya wapiga kura waliochoka kuonewa, kupuuzwa na kunyonywa.
 
wewee acha kukatisha makamanda tamaa LOWASSA NI LOWASSA hawezi kushindna na nguvu ya umma na kuhakikishia mwaka huu ni mwaka wa mabadiliko ya kweli na lowassa hachomoki monduli kama jina linakuogopesha ni wewe na vibaraka wako tulipo sema ukombozi wa kweli

hatukuangalia tunaanza nanani, tuliangalia mustakabali wa taifa nzima so usilete maneno yako mepesi kwenye majibu mgumu ambaya tumekwisha amua,,,, sawa kamanda nadhani umenielewa kama bado njoo monduli ujionee hali halisi na siyo jina,

majina tunayo toka enzi na enzi kama we nikamanda weka jina lako live kama mimi , mukiitwa vibaraka mnakataa wakata muda unawahukumu, lowassa fisadi tupa kulee, kamuelezi KAMANDA KILEWO ANASEMA MWAKA HUU AMAZAKO AMA CHADEMA ILA` JIMBO HUCHUKUI

tunapo mzungumzia LOWASA kuwa ni kisiki MONDULI na ndani ya CCM hatumaanishi kuwa tunamuunga mkono fisadi huyo, fisadi ni fisadi na inabidi mbinu na silaha za kila nmna zitumike kumg'oa. Lakini LOWASA ang'oleki kwa kuitwa fisadi au mimi na wewe kutomkubali kwa ufisadi wake. Hata tukimchukia vp ukweli unabaki palepale LOWASA ni kigingi cha nguvu pale monduli na kazi ya kumng'oa pale ni ngumu kuliko kumng'oa JK IKULU.

NAWEZA nisieleweke kama ACID alivyo eleweka ndivyo sivyo, KILEWO twende mbele na turudi nyuma LOWASA anamizizi mirefu MONDULI kuliko wewe unavyofikiri. WAMASAI hawabadiliki kama unavyosema kazi pale ni nzito. Huyo mpiganaji wa CHADEMA ni shujaa wa kuungwa mkono na waTZwote kwa kitendo chake cha kuthubutu kugombea jimbo la MONDULI. Kuteka kitongoji cha MTO WA MBU ni dalili za kuelekea mafanikio na hapo ndio kwanza kazi inaanza.

Matokeo yakitangazwa kuwa LOWASA kashindwa nadhani naweza kuwa na furaha kubwa kuliko unavyodhani lakini ni lazima tuukubali ukweli japokuwa ni mchungu na una uma sana kazi ya kumng'oa LOWASA MONDULI ni ngumu kuliko kumtoa JK MAGOGONI.

SHIME tumpe moyo mgombea wa CHADEMA kwa kuamua kuifanya kazi iliyowashinda wengi kwa kushindwa hata kujaribu kugombea, yeye kaamua kumng'oa 31oct truth will be naked
 
Mara Nyingi tungo tata zinaleta maana nyingi.

Pia kama wote tungekuwa tunawaza kuwa kuna vigogo wasioangushika ba si hakuna haja ya kujadili wala kupiga kura. Kumbuka Tingatinga limeangushwa. Miamba kama kina Mateo Quares, Chambiri, Mungai nk iliangusha bila kutegemea. lowasa naye anaweza kupigwa chini kwani ni binadamu kama wengine. It is true he is capable of using everything but siku ya kufa nyani miti yote huteleza

Pia ni kweli kuwa nayemjua Lowasa ni mkewe. Kama kuna wengine ni siri yao.

tukichukulia mfano huu, utagundua kuwa CCM wenyewe ndiyo wanaweza kumtoa Lowasa pale Monduli kama ambavyo tumeona miamba mingine imeng'olewa. hili la upinzani VS CCM (lowasa) ndiyo linaloonekana ni gumu unless huyo bwana wa CHADEMA awe so powerful kitu ambacho angalau mpaka sasa tarehe 17 oct (bado siku 13) tungekuwa tunakijua. otherwise ni kujifariji tu
 
wewe acha kuongea pumba anaye mfahamu lowassa ni mke wake na familia yake hapa tunaongelea mstakabali wa maendeleo ya taifa letu na mustakabali ya watu anao waongoza na sisi kuongea propaganda na ni wapiga kura wake ndiyo wamemkataa then tofauti 2005 na 2010 ni vitu viwili tofauti .............. Wananch wamechoshwa

kuongozwa na mafisadi wa rasilimali zao then wanapigiwa kampeni wapitishwe tena dic time kamanda hapa monduli lowassa hana chake
Muwe na akiba ya maneno
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom